Unafiki ni nini? Kumuonea huruma mzambia na siyo mtanzania

Unafiki ni nini? Kumuonea huruma mzambia na siyo mtanzania

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Ajabu sana aisee makanjanja na utopwinyo kumzodoa Clatous chama kwamba alikosea kuondoka Berkane kisa wameshinda confederation cup huku wakisahau jamaa jina lake lipo miongoni mwa watakaopokea medali maana mechi za shirikisho alicheza kwenye team hiyo

Makanjanja na utopwinyo yanamsifu Razak fiston ambaye sidhani hata kama amecheza dakika moja ya hiyo michezo...mtu anaandika maneeno meengi kumnanga Chama akijifanya anamuonea huruma na kudai angekuwa mvumilivu anasahau kumuambia msuva angekuwa mvumilivu leo angekuwa anacheza fainali na ahly

Huyo chama mnayemuonea huruma siyo mshamba wa hizo level alishawahi kufika nusu fainali klabu bingwa afrika na zesco ya lwandamina
 
Akili za mashabiki wa yanga zinanipa mashaka sana huenda ile kauli aliyosema manara ikawa kweli haiwezekani wafurahie Berkene kuchukua kombe kisa tu kulikuwa na wachezaji waliotumikia yanga wakati huo Luis miquisoni kachukua makombe na al ahly ila simba wanaona kawaida tu ila yanga wanaona kombe linakuja jangwani sasa hapa ndo nimejua kwa nn wanawapokea wageni hawajazoea mambo ya kimataifa.
 
Akili za mashabiki wa yanga zinanipa mashaka sana huenda ile kauli aliyosema manara ikawa kweli haiwezekani wafurahie Berkene kuchukua kombe kisa tu kulikuwa na wachezaji waliotumikia yanga wakati huo Luis miquisoni kachukua makombe na al ahly ila simba wanaona kawaida tu ila yanga wanaona kombe linakuja jangwani sasa hapa ndo nimejua kwa nn wanawapokea wageni hawajazoea mambo ya kimataifa.
Konde boy anayo hadi medali ya mshindi wa tatu wa dunia
 
Ajabu sana aisee makanjanja na utopwinyo kumzodoa Clatous chama kwamba alikosea kuondoka Berkane kisa wameshinda confederation cup huku wakisahau jamaa jina lake lipo miongoni mwa watakaopokea medali maana mechi za shirikisho alicheza kwenye team hiyo

Makanjanja na utopwinyo yanamsifu Razak fiston ambaye sidhani hata kama amecheza dakika moja ya hiyo michezo...mtu anaandika maneeno meengi kumnanga Chama akijifanya anamuonea huruma na kudai angekuwa mvumilivu anasahau kumuambia msuva angekuwa mvumilivu leo angekuwa anacheza fainali na ahly

Huyo chama mnayemuonea huruma siyo mshamba wa hizo level alishawahi kufika nusu fainali klabu bingwa afrika na zesco ya lwandamina
Ila hapo mtu kufika fainali sio sawa na kuchukua kombe lazima utofautishe.
 
Ajabu sana aisee makanjanja na utopwinyo kumzodoa Clatous chama kwamba alikosea kuondoka Berkane kisa wameshinda confederation cup huku wakisahau jamaa jina lake lipo miongoni mwa watakaopokea medali maana mechi za shirikisho alicheza kwenye team hiyo

Makanjanja na utopwinyo yanamsifu Razak fiston ambaye sidhani hata kama amecheza dakika moja ya hiyo michezo...mtu anaandika maneeno meengi kumnanga Chama akijifanya anamuonea huruma na kudai angekuwa mvumilivu anasahau kumuambia msuva angekuwa mvumilivu leo angekuwa anacheza fainali na ahly

Huyo chama mnayemuonea huruma siyo mshamba wa hizo level alishawahi kufika nusu fainali klabu bingwa afrika na zesco ya lwandamina
Chama kaacha kuvaa medali kaenda kuvaa irizi
 
Ajabu sana aisee makanjanja na utopwinyo kumzodoa Clatous chama kwamba alikosea kuondoka Berkane kisa wameshinda confederation cup huku wakisahau jamaa jina lake lipo miongoni mwa watakaopokea medali maana mechi za shirikisho alicheza kwenye team hiyo

Makanjanja na utopwinyo yanamsifu Razak fiston ambaye sidhani hata kama amecheza dakika moja ya hiyo michezo...mtu anaandika maneeno meengi kumnanga Chama akijifanya anamuonea huruma na kudai angekuwa mvumilivu anasahau kumuambia msuva angekuwa mvumilivu leo angekuwa anacheza fainali na ahly

Huyo chama mnayemuonea huruma siyo mshamba wa hizo level alishawahi kufika nusu fainali klabu bingwa afrika na zesco ya lwandamina
Wataalamu wanasema mtu akila ugali sana, akili zake huwa na hoja kama hizi.
 
Back
Top Bottom