Unafiki wa Humphrey Polepole: Aikana rasimu ya Warioba waziwazi

Unafiki wa Humphrey Polepole: Aikana rasimu ya Warioba waziwazi

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Wakati ule wa rasimu ya warioba, Polepole alizunguuka almost nchi nzima kuelezea uzuri wa katiba mpya(rasimu ya Warioba) na ubovu wa katiba ya zamani ya mwaka 1977.

Wakati ule alisema katiba ya mwaka 1977 moja ya ubaya wake ni mamlaka makubwa ya raisi.
Cha ajabu leo anageuka anasema eti mamlaka makubwa ya rais siyo tatizo kabisa.

Hebu msikilize hapa enzi hizo akielezea tatizo la madaraka makubwa sana ya rais katika katiba yetu ya mwaka 1977

 
Screenshot_20211124-172245.jpg
 
Wakati ule wa rasimu ya warioba, Polepole alizunguuka almost nchi nzima kuelezea uzuri wa katiba mpya(rasimu ya Warioba) na ubovu wa katiba ya zamani ya mwaka 1977.

Wakati ule alisema katiba ya mwaka 1977 moja ya ubaya wake ni mamlaka makubwa ya raisi.
Cha ajabu leo anageuka anasema eti mamlaka makubwa ya rais siyo tatizo kabisa.

Hebu msikilize hapa enzi hizo akielezea tatizo la madaraka makubwa sana ya rais katika katiba yetu ya mwaka 1977


I hate him, very soon atasema hiyo draft ya katiba alitengeneza Mzee Warioba na familia yake, waliyotengeneza wao siyo hiyo
 
Wakati ule wa rasimu ya warioba, Polepole alizunguuka almost nchi nzima kuelezea uzuri wa katiba mpya(rasimu ya Warioba) na ubovu wa katiba ya zamani ya mwaka 1977.

Wakati ule alisema katiba ya mwaka 1977 moja ya ubaya wake ni mamlaka makubwa ya raisi.
Cha ajabu leo anageuka anasema eti mamlaka makubwa ya rais siyo tatizo kabisa.

Hebu msikilize hapa enzi hizo akielezea tatizo la madaraka makubwa sana ya rais katika katiba yetu ya mwaka 1977


Njaa inamtesa. Anajaribu kurudi kwa Mama lakini nyakati zimemkataa
 
Back
Top Bottom