Hakuna wimbo wa jide na langa, wala na fa, alikua msanii ila sio mkubwa hvyo, ngweah alikua msanii mkubwa, fikir kabla hujapost ki2
hata langa alikuwa msanii mkubwa
Pamoja na yote, ukweli ni kwamba ilibidi wahairishe tu, kwa sababu hakuna tofauti yoyote ya Ngwair na Langa; wote ni wasanii wa Bongo Flava. Kiukweli hawajafanya uungwana!
Hakuna wimbo wa jide na langa, wala na fa, alikua msanii ila sio mkubwa hvyo, ngweah alikua msanii mkubwa, fikir kabla hujapost ki2