Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Habari wakuu.
Mipaka ya nchi ni kitu kinachobadirika kila leo. Miaka 30 iliyopita kulikuwa na nchi kubwa ya USSR. Leo haipo, imetoa nchi kibao.
Ujerumani haikuwa nchi moja, hakukuwa na Sudan kusini wala Somaliland. Leo Kurdistan ni kama nchi, Syria inataka kuvunjika nk.
Unaionaje mipaka ya dunia miaka 40 ijayo? Ethiopia na Nigeria zutavunjika? Korea zitaungana? EA itakuwa nchi moja? Vipi EU? DRC itakuwa nchi moja?
Mabadiliko gani unayaona kwenye mipaka ya dunia baada ya miaka 40?
Mipaka ya nchi ni kitu kinachobadirika kila leo. Miaka 30 iliyopita kulikuwa na nchi kubwa ya USSR. Leo haipo, imetoa nchi kibao.
Ujerumani haikuwa nchi moja, hakukuwa na Sudan kusini wala Somaliland. Leo Kurdistan ni kama nchi, Syria inataka kuvunjika nk.
Unaionaje mipaka ya dunia miaka 40 ijayo? Ethiopia na Nigeria zutavunjika? Korea zitaungana? EA itakuwa nchi moja? Vipi EU? DRC itakuwa nchi moja?
Mabadiliko gani unayaona kwenye mipaka ya dunia baada ya miaka 40?