Unafikiri nini hatima ya lulu?

Inno laka

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2012
Posts
1,616
Reaction score
585
We binafsi kama m2 ambaye una upeo mkubwa wa kufikir unafikir nn itakuwa hatima ya lulu.
 
lulu ni muuaji alipotoka chumbani kwa kanumba alikimbia mm uamuzi wangu kifungo cha maisha amemuua mtu muhimu katika nchi yetu
 
jamani kama kawaida ya binadamu pale tupatapo matatizo makubwa sana huwa tunamrudia mungu basi lulu akitoka usishangae akajiunga na akina Rose muhando au christina shusho au bonnie mwaitege akituambia kuwa "anaelea anakwenda mbinguni"au akawa mama kanisa. naliona hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…