Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna hewa,maji,mwanga,giza na kitu cha aina yoyote ile je,unafikiri pangekuwaje..?
hali hii ya kutokuwepo chochote unadhani inawezekana..?
kama inawezekana,je inawezekanaje..?
wadau majibu tafadhali..
karibuni
Usingeweza hata kuuliza hili swali.Hakuna hewa,maji,mwanga,giza na kitu cha aina yoyote ile je,unafikiri pangekuwaje..?
hali hii ya kutokuwepo chochote unadhani inawezekana..?
kama inawezekana,je inawezekanaje..?
wadau majibu tafadhali..
karibuni
sidhani kama umenielewa.Usingeweza hata kuuliza hili swali.
me nadhani isingekua kitu maana hamna vitu na kusingekua na mtu awae yoyote wala kitu chochotesidhani kama umenielewa.
unafikiri pangekuwaje kama pangekuwa hakuna kitu chochote..?
mtu akikuuliza mahala fulani pakoje si utamjibu kulingana na sehemu hiyo palivyo.
najua nisingeweza kuuliza ndio lkn pangekuaje..?
hebu niambie picha/muonekano wa kutokuwepo kwa kitu chochote ikoje...?
hebu niambie picha/muonekano wa kutokuwepo kwa kitu chochote ikoje...?
Hili swali linakutaka ufikirie kama sasa tupo kuna haya yote mwanga,giza,hewa n.k je kama kusingekuwepo kitu chochote pangekuwaje..?Hakuna ajuwaye kwa maana hata sisi tusingekuwepo