Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Mke wa padreInawezekana jamaa amemwambia padre anaungama maana amemwambukiza mkewe UKIMWI.
Nimawazo yangu tu
Jamaa aliyeenda kuungama ndio kamuambukiza mkewe ugonjwaMke wa padre
Hilo ni pozi tu. Padre akiwa anaendesha maungamo halazimiki kumtazama usoni anayeungama. Hapo ni sehemu wazi hivyo padre kainama kuficha USO. Kwenye vyumba vya maungamo padre na MTU anayeungama wanatenganishwa na pazia.Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari kinajieleza na picha imeambatanishwa mwamba aktubu na Padre kainama kashika kichwa huku kainama mawazo kibao!
Unahisi kafanya dhambi gani ya ajabu hadi kumfanya Padre awe na hali hiyo?
Karibuni tujadili kwa heshima View attachment 2537114
Taarifa ni kuwa mjamaa alimtafuna kijana mvulana wa padri, padri alibaki njiapanda.Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari kinajieleza na picha imeambatanishwa mwamba aktubu na Padre kainama kashika kichwa huku kainama mawazo kibao!
Unahisi kafanya dhambi gani ya ajabu hadi kumfanya Padre awe na hali hiyo?
Karibuni tujadili kwa heshima View attachment 2537114