Umesahau kuhusu ile takwimu iliyotolewa,inasema kati ya watu wanne mmoja ni mwezi mchanga.Muulize mtoa post Kwa wapo wangapi?akisema wapo wanne,basi sio kosa lakeNajaribu kuwaza kama umepoteza ndugu kwenye ile ajali unaweza kweli kupost kitu kama hiki?!
[emoji106]Kwanza hata haichekeshi nisiwe mnafiki
[emoji107]Kinahodha: baby Leo nahodha kaniachia
kivuko nadrive mimi saa hii.
Shori: weeee unachatije huku
Unaendesha?
Kinahodha: mi jeeembe nimeanza
kufundishwa juzi tu si
Unanijuaga siku 2 tu nshajua
Kuvusha nyoomiiiiii
Shori: weee unaendesha huku unachati
Kuanzia leo nakuacha.
Kinahodha: baby
Kinahodha: ndo umeniacha
Kinahodha: bibyyyyy
Kinahodha: baibyyyyyy
Uuuuwiiii nimepitiliza
Uuuwiiiii tunakufa byee baby
alikuwa anachati na mama yakoKinahodha: baby Leo nahodha kaniachia
kivuko nadrive mimi saa hii.
Shori: weeee unachatije huku
Unaendesha?
Kinahodha: mi jeeembe nimeanza
kufundishwa juzi tu si
Unanijuaga siku 2 tu nshajua
Kuvusha nyoomiiiiii
Shori: weee unaendesha huku unachati
Kuanzia leo nakuacha.
Kinahodha: baby
Kinahodha: ndo umeniacha
Kinahodha: bibyyyyy
Kinahodha: baibyyyyyy
Uuuuwiiii nimepitiliza
Uuuwiiiii tunakufa byee baby