Unahisi kumpenda nani hapa JF?

Mokoyo

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2010
Posts
15,145
Reaction score
5,566
Mapenzi ni mchanganyiko wa mambo na masuala mengi sana ikiwa ni pamoja na maneno ya kutamka na kuandika, zawadi, na mambo mengine mengi. Kama ndivyo wewe member wa JF ni nani unayehisi kuwa kwa maneno na uandishi wake anaweza kuwa mtu wa karibu kwako na akakupa furaha fulani?
 
Kama wewe ni she, mi nakuchagua wewe. Ila kama ni he.......... am sorry!
 
I love every MEMBER OF jf, na post zao wote zinanifurahisha ajabu!I cant imagine loosing a single member!
Mkubwa PJ, sio kiivyo wewe ulivyojibu, sio lengo la mada yangu, namaanisha kupenda japo kwa mtu mmoja kutokana na maandiko yake
 
Tuseme ukweli tuu jamani kwani tunaonana uso kwa uso? Wakati mioyoni mwetu tunafahamu sana kuwa mtu unapoanza kusoma alichochangia fulani na fulani unajua kabisa nani na nani wanaokuvutia kwa hoja na mawazo yao kila uingiapo humu JF. Mimi niko wazi kabisaaaaaaa, nawapenda wote lakini kuna wanaonifurahisha sana humu nao ni.. FL1 na KAIZER... ningekuwa na uwezo wa kuwaona live kweli ningeandaa kiti moto kama wanatumia basi tungeila pamoja na kubadilisha nao mawazo!
 
Mimi nawapenda wengi,
Pearl, Cheusi mangala, Maria Roza!
 


Nampenda kila mmoja kwa kiwango chake, kwa aina yake, na sababu yake. Kupotea kwa hata mmoja ni pigo kubwa sana kwangu.
 
Nampenda kila mmoja kwa kiwango chake, kwa aina yake, na sababu yake. Kupotea kwa hata mmoja ni pigo kubwa sana kwangu.
ni yupi hasa anayekupa hamasa na kimuwe muwe kwa uandikaji wake wa posts na threads pamoja na PM?
 
Some members here i love them a lot...
and some members here i dont like them at all
very boring and time wasting reading anything they write.........
 
ni yupi hasa anayekupa hamasa na kimuwe muwe kwa uandikaji wake wa posts na threads pamoja na PM?

Natakujibu vizuri sana ukiniambia wewe ni jinsia gani! Tafadhali sasa fanya hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…