still the same
haya Boss, mtaje basi angalau mlimbwende mmoja unayemzimikia to the maximum
kupendana pendana vipi ? maana isijekuwa mambo ya kimombasa tena, maana huwezi kujua jinsia ya mtu kupitia AVATOR
mioyo ni kama bahari
so many secrets...
Nampenda Fixed Point na Heaven on EarthMimi nawapenda wengi,
Pearl, Cheusi mangala, Maria Roza!
ndo umentosa hivihivi najiona! Loh! kamba ipo wapi nijikomitswisaid!
teh teh...we si ulikuwa wanidengulia ukajua sina kwa kukimbilia
Yupo humu mjengoni, atakuja tu usijali.huyu jamaa Mayenga nimemmis sana, sijui yuko wapi nowdays
jamani c nyumba kubwa yako afu nyumba ndogo ya mwenzio! Kwani tatizo nini babito loh!
Yupo humu mjengoni, atakuja tu usijali.
nameless girl its good, if possible mwambie aje huku anaitwa sana