Unahisi kumpenda nani hapa JF?

Some members here i love them a lot...
and some members here i dont like them at all
very boring and time wasting reading anything they write.........
Ni kweli The Boss, Je can you mantion those u like most and those you hate most?
 
"Smile though your heart is aching"...Me says

Eeh!
Back to th main topic. Mimi namhusudu.......Egyps women (nahisi ni demu huyu).....Sina option kwa sababu karibia wote humu ndani wako in pairs tayari. Ila Egyps w yuko singo am sure hapa jf.
 
Au unataka kunitunuku Ndugu?

Hapa jamvini wengine wanapretend women while they're men and vice versa. Hivyo, kama wewe ni male basi nampenda dada yako au mdogo wako wa kike, and if you a female, then I love anyway.
 

2b honest, am in lov wth avatar ya FL1 onl 😉
 
hahahahahah can you speak this again?

Ni wewe tu kuamua kuchukua nafasi; if you're a lady, au kumuachia dada yako au mdogo wako wa kike. But, viginity must be there!
 
nawapenda wote,sina ninayemchukia,wengine nawapendea ucheshi na utani wao,wengine hekima zao,wengine upendo wa kusaidia wengine,lkn jina moja ninaloweza kutaja la mtu ninayemhusudu na huwa siachi kusoma anachoandika ni womanofsubstance.
 
nawapenda wote,sina ninayemchukia,wengine nawapendea ucheshi na utani wao,wengine hekima zao,wengine upendo wa kusaidia wengine,lkn jina moja ninaloweza kutaja la mtu ninayemhusudu na huwa siachi kusoma anachoandika ni womanofsubstance.

Busara za Cheusimangala binti afrika.............
 
U guys fall in love with somebody's avatar msg comes nxt. I tell u
 
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=NiXbRBS5Z58"]YouTube- Usher-Yeah[/ame]
 
.......Sijui hata upendo gani unaozungumziwa hapa.
 
nawapenda wote,sina ninayemchukia,wengine nawapendea ucheshi na utani wao,wengine hekima zao,wengine upendo wa kusaidia wengine,lkn jina moja ninaloweza kutaja la mtu ninayemhusudu na huwa siachi kusoma anachoandika ni womanofsubstance.

I salute you my dear!
I admire your African beauty as well....
Endelea kutoa michango yako mizuri na ujue una supporters wa kutosha nyuma yako.
 
Tutabanana hapa hapa leo ukitoa kitu chenye kichwa nitakupenda ila ukija na mambo ya ajabu tunagawana njia.wazo jema adilifu fikirifu tu vinginevyo hapendwi mtu hapa ndoa yangu ni bora zaidi na tukutane jamvini tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…