BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,810
- 5,773
Kuna ule uliniambia unataka nikufundishe ki Russia kwan ndo huu eti mamy? Maana mimi na hii timu yangu tukivamia uzi wa watu hatubandukigi
hahahahaaaaaaa acha kunichanganya em mtaje....
Unajifanya umjui eeh...
Mmmmh best nimemsahau nisije nikataja hapa kumbe sie naogopa kesi mie...
kwani we sio bi mdogo au mchepuko tu?
Khaa! Yani unazidi kupalia makaa kabisa
Tatizo unapita njia nyingi hadi sielewi ipi ni sahihi...
We mama wewe mi nimebaki njia kuu sikuhizi
Kama ni hivo basi hongera na jina la Bwana lihimidiwe....
Ameen kubwa
Sasa tutaenda wapi mamy? Tubaki tuu adi tufukuzwe
Hahahaaaaa burudani...
Ha haa nini tena