Unahisi kumpenda nani hapa JF?

Mpwa hivi ulisema unatumia kinywaji gani vile?

Kwenye blue nahisi kama nimekuelewa

Kwenye black nimekuelewa

Kwenye red.......πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€!!!!!!!!!
hapo kunako redi ni ''more-professional''

Najaribu kukusoma katikati ya mistari, waseminaristi siyo wa kusomwa kijuujuu!
hasa huyo bigirita!....

Konyagi, nachanganya na tonic/clubsoda, usisahau na slace za limao
hiyo imetulia

Mhudumuuuuu!

Leta bapa moja na clubsoda ya moto fasta. Na valuu tafadhalie. Afu niitie mtu wa jikoni kabisa!
hapo sasa!profesheno ya kaizer hiyoπŸ˜€
 
Tangu mwanzo wa thread mpaka hapa tulipo sijaona sehemu uliyonifagilia japo kiduchu. Mimi na wewe tumewahi kugombea mapenzi? Do the needful basi kaka/dada. LOLZ! Hahahaha!
I have done the needfull Mhe. Xpin

Ila unanifurahisha kitu kimoja mpaka leo hujajua kama mimi ni kaka/dada? hahahahahaha. We mtata
 
hakuna mtu specific ambaye ananinunisha, ila kuna posts sometimes ukizisoma unakunja sura
hahahahahah kweli si unakua kuna siku watu wanakuja na thread kam wametoka Baghdad
 
Mhudumuuuuu!

Leta bapa moja na clubsoda ya moto fasta. Na valuu tafadhalie. Afu niitie mtu wa jikoni kabisa!

Kakague mkuu!

Uwakumbushe ndugu mambo hayo, nawe utakuwa mtumishi mwema wa bwana wetu Yesu kristu.

Bali mafundisho ya kizee, uyakatae ujanani mwako.

Haya, taja andiko hili linatoka kwa Paulo Mtume kwenda kwa nani?
 
hakuna mtu specific ambaye ananinunisha, ila kuna posts sometimes ukizisoma unakunja sura
Sasa si umtaje basi? Au mworodheshe kwenye ignore list yako.

I have done the needfull Mhe. Xpin

Ila unanifurahisha kitu kimoja mpaka leo hujajua kama mimi ni kaka/dada? hahahahahaha. We mtata
Kwenye red, do the needful basi kwa afya yangu.

Kwenye blue: Nitake radhi tafadhali.
 
hahahahahah kweli si unakua kuna siku watu wanakuja na thread kam wametoka Baghdad

Nakuambia! sijui wanakuwa wameboreka kwa hiyo nao wanatafuta wa kuwabore?
I am very sorry kwa wale ambao wamekuwa wakiboreka ka posts zangu, maana sometimes unaweza ukaandika kitu kumbe kikakwaza wengine.
 
Kakague mkuu!

Uwakumbushe ndugu mambo hayo, nawe utakuwa mtumishi mwema wa bwana wetu Yesu kristu.

Bali mafundisho ya kizee, uyakatae ujanani mwako.

Haya, taja andiko hili linatoka kwa Paulo Mtume kwenda kwa nani?
Mtume Paulo kwa watu wote kaunta!πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Huliangalia shamba, na kulinunua
Kwa mapato ya mikono yake,
Hupanda mizabibu!!
Na watu wote waseme Amina!

Sasa ni wakati wa kwenda kupata Sakramenti.
Jongeeni kaunta yangu mpate divai iliyo bora!
 
umenigusa na "phrase" yako apo chini πŸ™‚
 
Sasa si umtaje basi? Au mworodheshe kwenye ignore list yako.

Kwenye red, do the needful basi kwa afya yangu.

Kwenye blue: Nitake radhi tafadhali.

Chrispin nimesema sina mtu specific anayenufanya ninune. sasa kama mtu kanifanya ninune kwa post yake 1 kati ya elfu anazotuma nimweke kwenye ignore list?
 
Na watu wote waseme Amina!

Sasa ni wakati wa kwenda kupata Sakramenti.
Jongeeni kaunta yangu mpate divai iliyo bora!
Mhe. Xpin leo unatanua sana maana bht hana mood ya kuandika sio?
 
hahahahahah kweli si unakua kuna siku watu wanakuja na thread kam wametoka Baghdad

Kwa "Baghdad" sijakupata tafadhali, wanaotoka huko wanakuwa na pointi kama zipi? Au hilo neno ni tafsida nini......! nifahamishe tafadhali.
 
Kwa "Baghdad" sijakupata tafadhali, wanaotoka huko wanakuwa na pointi kama zipi? Au hilo neno ni tafsida nini......! nifahamishe tafadhali.
Ni tafsida hiyo, nikikujulisha maana yake nitakuwa nimepoteza maana ya lugha, labda nikuPM. Au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…