Unahisi nani amesahaulika katika kikosi hiki?

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Beki na nahodha wa zamani wa Man Utd, Gary Neville ametaja kikosi chake bora cha Man Utd bila wachezaji wa Kiingereza!

Mchezaji aliyewashtua wengi ni Bruno Fernandez ambaye ametua Man Utd January lakini Gary Neville akaamua amjumuishe kikosini huku wakikosekana mastaa kadhaa!

Je unakubaliana na kikosi hiki cha wachezaji bora wa kigeni kuwahi kucheza Man Utd ambacho kimetengenezwa na Gary?

Unahisi nani alipaswa awepo kikosini? Mimi nashangaa ni kwa namna gani Park Ji Sung alivyosahaulika kikosini!

Karibu kwa mjadala.

 
Naona zile post zako za kuimba mapambio juu ya uwezo wa Simba zimepungua,vp mkuu tatizo ni Nini?

Mimi huwa naandika ninapopata nafasi! Halafu mimi timu yangu ni Wanankurukumbi ambao msimu huu hatufanyi vizuri sana kwenye ligi!
 
[emoji3][emoji3] Kweli ukiwa muongo uwe na kumbukumbu,by the way katika post zako 'unaanzaga' kwa kujitambulisha kua wewe ni yanga afu ndo unaanzaga mapambio.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu ni mimi kweli au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…