Inaweza kuwa ni wewe unayesoma hapa, ama inaweza ikawa ni mtu unayemfahamu kama ndugu, jamaa ama rafiki. Vyovyote vile, tusaidie kumfikishia taarifa hii.
Ndugu zangu katika Bwana.
Kama unahisi upo kwenye maisha usiyoyafurahia, au upo kwenye maisha usio na amani nayo, basi wasiliana nami PM ukinielezea kuhusu aina ya misukosuko yanayokukabili hadi kupelekea kukata tamaa.
Zingatia: Nitakachofanya ni kukuelekeza kwenye kweli ya Mungu itakayokutua mizigo yako yote na kuwa huru kufurahia maisha yako mapya katika Mungu.
Karibu sana PM tuzungumze zaidi kwa faragha.
Ndugu zangu katika Bwana.
Kama unahisi upo kwenye maisha usiyoyafurahia, au upo kwenye maisha usio na amani nayo, basi wasiliana nami PM ukinielezea kuhusu aina ya misukosuko yanayokukabili hadi kupelekea kukata tamaa.
Zingatia: Nitakachofanya ni kukuelekeza kwenye kweli ya Mungu itakayokutua mizigo yako yote na kuwa huru kufurahia maisha yako mapya katika Mungu.
Karibu sana PM tuzungumze zaidi kwa faragha.