Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzi tayari 😁Nini kinakulazimisha kuwa kama ulivyo? Tofauti na ulivyo?
Morning kumekuchaaaGood night
1. Genetics, hapo Sina chagua loloteNini kinakulazimisha kuwa kama ulivyo? Tofauti na ulivyo?
kama me anaweza kuigiza demu mtandaoni, basi huyo sio meme huyo litakukuta jambo shauli yako!
ndo ushaambiwa sasa, jimix tukama me anaweza kuigiza demu mtandaoni, basi huyo sio me
mindset ya mwanaume wa kweli haiwezi ikaigiza demu hata dakika moja
Wenye uwalaza wanapenda kukimbilia kunyoa vipara.Am grateful kwa vile nilivyo, japo kama kungekua na namna ya kuondoa ualaza kichwan bas ningefanya hivyo..😅
Hata mimi ndivyo ninavyofanyaWenye uwalaza wanapenda kukimbilia kunyoa vipara.