Unahitaji kampuni ya kusimamia shughuli yako?

Unahitaji kampuni ya kusimamia shughuli yako?

kingjohn255

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
400
Reaction score
513
Je, unahitaji kampuni bora sana ya kusimamia tukio lako? Inaweza kuwa harusi, mahafari, mikutano, washa na tukio lolote linalohitaji usimamizi wa kina?

Basi usiwe na mashaka, kampuni ya Joex Event Planning & Management Ltd wapo kwa ajili ya kuhakikisha tukio lako linaandaliwa na kusimamiwa vyema kwani inao vijana wa itifaki(Protocol) na Ushers wazoefu wenye ueledi wa kufanya hiyo kazi na kuliacha tukio lako likiwa katika gumzo kwani litafaana kuliko kawaida.

Tunafanya kazi ndani na nje ya nchi
Tupo Mikocheni Dsm Tanzania
+255 (0) 719 263 074
 
Back
Top Bottom