Unahitaji kupendwa na mkeo?

Unahitaji kupendwa na mkeo?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Chemsha mchaichai majani ya maboga oga siku tatu maji uvuguvugu tia chumvi mawe kijiko kimoja manuizi ya mvuto kupendwa kuthaminika.

Fanya mpaka saba, ogea njoo niambie.
 
Mambwataa hadi wanaumee siku hizi wanafanyaa? Kweli ndoa zimepatwaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom