Unahitaji Moyo wa Chuma kufikia maamuzi haya .....

Nadhan hapo hakuna suala la kuwa bwana 'hassan'ameweza kwakua yeye ni mjeda ila ni moyo ambao kila binadamu anatakiwa kua nao afterall he loved her without knowing what he knows now.rose still rose even after roating
 
Ni mambo ya kawaida ktk maisha ya leo yalojaa majanga kila kona ni suala la upendo
 
Nadhan hapo hakuna suala la kuwa bwana 'hassan'ameweza kwakua yeye ni mjeda ila ni moyo ambao kila binadamu anatakiwa kua nao afterall he loved her without knowing what he knows now.rose still rose even after roating

Hili nalo neno!
 
Huo upendo umekaa KIYESU YESU!
Hongera zake ingawa ndo inavyotakiwa kuwa ie katika shida na raha kuanzia kwenye uchumba ndoa na mpaka maisha baada ya ndoa
 


Huyo jamaa nimemkubali, loh!
 
Ningeomba msamaha kwa Mola kwani nisingeweza kabisaaa!!! Big up Mr Hassan. Ni wachache wanaweza kuwa na moyo kama wako.
 

Alikosea sana. Mkuu riwa nina swali itabidi niku-pm kiongozi wangu.
 
Huyu mwanajeshi ana moyo wa mwanakondoo
OTIS
 
dah! Unyanyapaa haukubaliki lakini unausikiliza na moyo pia,hakuna anayejua nin kitatokea kesho au baadaye siku ya leo but kwa hili la huyo jamaa ni zaidi ya upendo kama hakukuwa na fact nyingine,binafsi lisingewezekana na Mungu angenisamehe kwa kweli...
 
Binafsi nisingeweza kabisa ingawa ingeniuma sana! Hongera yake bwana hassan kwa ujasiri.
 
hapa unahitajika ujasiri zaidi ya hata huyo mjeda,jamaa ni wakupongezwa
 

Nikimpenda kama alivyopenda Hassan inawezekana lakini nikimpenda tofauti uamuzi wangu utakuwa tofauti pia!
 
Unaweza kumkwepa huyo kwa sababu ya status yake lakini muumba ana maajabu yake, ukapata huo Ukimwi kwa njia nyingine. Ukitaka kuoa na wewe ukataliwe, au kama una mke na yeye akukimbie...!!!! Tafakari kabla hujajibu hivi.
Kwani walioathirika wamefanya nini cha ajabu ambacho wewe mtakatifu hufanyi?

 
wanawake wanaweza. lakini kwa wanaume, nampa big up Hassan. nisingetegemea mwanamme awe na moyo wa ujasiri kiasi hiki, siiti wa chuma kama wengi mlivyosema. Ukimwi mtu yeyote anaweza kuupata kwa njia yoyote ile. ili mradi unahudhuria hospitali zetu hizi ambazo madaktari hawako makini. Ikiwa mgonjwa wa mguu anapasuliwa kichwa kwani wewe kuwekewa damu yenye virusi ni kitu kikubwa au kutolewa jino na vyombo ambavyo haviko sterilized.. ni rahisi sana hapa kwetu. tuwe makini tunapoongea jamani. hakuna aliyeomba hiyo hali, wala hakuna anayejipeleka kuambukizwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…