INAUZWA Unahitaji urembo mzuri kwa ajili ya ukuta wako karibu kwenye uzi huu

INAUZWA Unahitaji urembo mzuri kwa ajili ya ukuta wako karibu kwenye uzi huu

kiba brown

Member
Joined
Mar 8, 2018
Posts
70
Reaction score
46
Je, Umeshabadilisha Muonekano wa Nyumba Yako [emoji3060]
Kama Jibu ni Bado Karibu Wallpanel Decor Tukubadilishie Muonekano wa Nyumba Ofisi Frame n.k [emoji94][emoji16]
Tunaweka Wallpanel design🫣
Square metre 1 =55,000
Kwa pic 1=14,000

[emoji1314]Material yake niya gypsum imara ngumu[emoji1316]
[emoji1314]unaweza kupaka rangi yoyote uipendayo[emoji847]
[emoji1314]kwa wale wenye kuta zenye fangas hili ndio suluhisho lao maana hutapata kuiona fangas tena[emoji16]
[emoji1314]inadumu kwa miaka 10 ni ww tu uamue kubadilisha [emoji3590]ā€[emoji91]
[emoji1314]hii ni kwa ajili ya ndani tu[emoji1323]

Location [emoji1314]tupo Tabata Segerea Sheli[emoji625]

Whatsapp/Calling/Text [emoji390][emoji1314]0748279556
pia tuna page facebook @wallpanel decor
instagram wallpanel_decor

IMG_0499.jpg

IMG_0238.jpg

33D6F6AB-DDA0-4E3F-BA31-20D4027B404C.jpg

IMG_0143.jpg

IMG_0139.jpg

IMG_0114.jpg
 

Attachments

  • IMG_0113.jpg
    IMG_0113.jpg
    226.4 KB · Views: 18
kaaa karibu hapa upate material na mauna mazuri mazuri kufanya ukuta wako uvutie
IMG_0138.jpg
 
IMG_3455.jpg

IMG_3453.jpg

IMG_3454.jpg


IMG_3448.jpg


wall mural per square meter 70,000 call 0713459777
~Tupe vipimo vya ukuta wako
~kisha tukupe gharama kamili
~mengine tuachie sisi
KARIBUNI SANAAA
 
slats panel upe ukuta wako muonekano mzuri call 0748279556
 
Niliambiwa nisikimbilie kujenga nyumba, unaona sasa!!
Niliambiwa nisikimbilie kujenga nyumba, unaona sasa!!
Usijutie kitu hapo, wakati wako ukifika wa kujenga nyumba ukifika hizo decor technologies unazoziona Sasa hivi kuwa 'awesome' miaka 5 ijayo itakuwa ni upuuzi mtupu. Technology inaenda mwendo kasi sana.
 
Usijutie kitu hapo, wakati wako ukifika wa kujenga nyumba ukifika hizo decor technologies unazoziona Sasa hivi kuwa 'awesome' miaka 5 ijayo itakuwa ni upuuzi mtupu. Technology inaenda mwendo kasi sana.
Hujaelewa!

Mimi niliyekimbilia kujenga na decor mpya zikija nifanyeje?
 
Back
Top Bottom