Nimalizapo weekend labda niseme hivi! Unaifahamu familia uliyooa/olewa au unayotaraji? Mara nyingi tumesahau jambo 1. Kila familia ina roho (asomae na afahamu) na tabia zake! Wengne wauaji,malaya,walevi,waongo,wagomvi,wachawi,washirikina,magaidi nk, nk! Kabla hujafikiri kuoa/kuolewa, ifahamu. Itakusaidia!
Nimalizapo weekend labda niseme hivi! Unaifahamu familia uliyooa/olewa au unayotaraji? Mara nyingi tumesahau jambo 1. Kila familia ina roho (asomae na afahamu) na tabia zake! Wengne wauaji,malaya,walevi,waongo,wagomvi,wachawi,washirikina,magaidi nk, nk! Kabla hujafikiri kuoa/kuolewa, ifahamu. Itakusaidia!
Nimalizapo weekend labda niseme hivi! Unaifahamu familia uliyooa/olewa au unayotaraji? Mara nyingi tumesahau jambo 1. Kila familia ina roho (asomae na afahamu) na tabia zake! Wengne wauaji,malaya,walevi,waongo,wagomvi,wachawi,washirikina,magaidi nk, nk! Kabla hujafikiri kuoa/kuolewa, ifahamu. Itakusaidia!
Kwa sehemu kuna ukweli, lakini si kila aliye kwenye hiyo familia anaweza kubeba tabia za hiyo familia. Nimezifahamu baadhi ya familia kadhaa ambazo ni walevi kupindukia lakini unakuta kuna mmoja angalau anatokea kuwa tofauti na wengine! Zipo pia familia zenye kupenda ugomvi au uhuni lakini unakuta kuna masalia machache yasiyo na hizo tabia.
Ila all in all, naungana na wewe kwa 100% kuwa ni vzr kuhafamu familia ambayo unakwenda kuungana nayo!
Wala siyo too late, hiki ni kizazi kingine kabisa, hii hoja ni Irrelevant kwa sasa kwani kuoa sasa hivi ni jambo la mkataba wa watu wawili tu. mke siyo wa Familia na mume si wa Familia.Its too late for some of us! Ila ushauri utasaidia kwa wadogo zetu.
Kwa sehemu kuna ukweli, lakini si kila aliye kwenye hiyo familia anaweza kubeba tabia za hiyo familia. Nimezifahamu baadhi ya familia kadhaa ambazo ni walevi kupindukia lakini unakuta kuna mmoja angalau anatokea kuwa tofauti na wengine! Zipo pia familia zenye kupenda ugomvi au uhuni lakini unakuta kuna masalia machache yasiyo na hizo tabia.
Ila all in all, naungana na wewe kwa 100% kuwa ni vzr kuhafamu familia ambayo unakwenda kuungana nayo!
Tuzungumziapo mambo mengi hua tunapenda kuweka asilimia nyingi, siku zote kuna wachache hujitokeza na kua tofauti na jamii yao inayowazunguka ila ukweli upo pale pale SIKU ZOTE jamii hufanana ndio maana koo,kabila,nchi, kuna vtu vingi hufanana miongoni mwao.
na hili sisi tunaoenda kuoa/kuolewa tulizingatie na kuliko kwenda kuondoa nuksi.
Kwa sehemu kuna ukweli, lakini si kila aliye kwenye hiyo familia anaweza kubeba tabia za hiyo familia. Nimezifahamu baadhi ya familia kadhaa ambazo ni walevi kupindukia lakini unakuta kuna mmoja angalau anatokea kuwa tofauti na wengine! Zipo pia familia zenye kupenda ugomvi au uhuni lakini unakuta kuna masalia machache yasiyo na hizo tabia.
Ila all in all, naungana na wewe kwa 100% kuwa ni vzr kuhafamu familia ambayo unakwenda kuungana nayo!
nakumbuka kaka yangu wa kwanza kuzaliwa wakatim anatarajia kuoa, baada ya kumweleza baba, baba alifanya udadisi kujua alipotoka huyo mwanamnke, baada ya kujua atokapo huyo mwanamke, kisha akamwambia kaka asubiri atamjibu.Alisafiri kwa siri hadi huko kijijini na kufanya ushu-shushu wake na baada ya kurudi akamwambia kaka aende kule kijijini akamuone mzee fulani yeye ndiye atakayekuwa baba yake wa kumsaidia kuposa na kumfungisha ndoa.
Kumbe alishaongea na huyo mzee na kukubaliana naye amsdaidie kusimamia ndoa ya kaka yetu kwa kuwa huko kaka alipotarajia kuoa ni mbali na alipo na yeye alikuwa ni mtumishi asingeweza kusafiri kwenda huko.
Na utaratibu huo aliufanya hata kwetu sisi kufanya ushu-shushu kabla ya kutoa go ahead ya kuoa.
Ni jambo zuri sana kuijua familia unayooa au kuolewa, wazee walikuwa na maana zao kutukataza kuto-oa koo fulani.
Its too late for some of us! Ila ushauri utasaidia kwa wadogo zetu.