Unaifahamu vipi CocaCola?

Huu ni uzushi tu.

Sasa kama ni wawili tu wanaojua, hawa wa hapa nyerere road wanatumia compounds zip kuipata coca??? Na wakati hawajui??? Au inashushwa na ndege na kujazwa ktk vyupa???
Nyerere road kuna kiwanda cha koka?
 
Nimejifunza Kitu, Asante Mleta Uzi na Wachangiaji Wote
 
Huu ni uzushi tu.

Sasa kama ni wawili tu wanaojua, hawa wa hapa nyerere road wanatumia compounds zip kuipata coca??? Na wakati hawajui??? Au inashushwa na ndege na kujazwa ktk vyupa???
Ni unga wake ndio unaosambazwa wao wanachanganya na kikiminika tu ili kupata kinywaji
 
Mi naifahamu soda ya coca cola km sumu inayoua taratiibu kadri unavyoitumia
 
Yule muhindi wa Sunkist alikufa na Siri yake
Mikate haina ubora tena
Sasa Hao wa coca hawafagi?
 
Safi sana Bro. ...maelezo yako yamenishawishi...coz dunia ya leo isingeshindikana kuzitambua hzo ingredients..na wanazijua ila jinsi ya kutumia ili kupata az a original coca cola ndo tatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…