Fabian the Jr
JF-Expert Member
- Aug 4, 2012
- 756
- 751
Habari wakuu,
Nipo katika mchakato wa kufungua biashara mahali, lakini nikiwa katika mchakato huu kuna jamaa aliniambia, "aisee kuwa makini na chumaulete mtaa huu"
Nahtaji kujua yafuatayo,
Ni kweli chuma ulete ipo i mean inafanya kazi? Au ni story tu za mtaani? Kuna yeyote ambae ashawah kukutana nayo?
Ni kweli kabisa kwamba mtu anaweza akaja na buku, ukiichanganya kwenye droo yako yenye mil 50 zote zinapotea?
Je kama ni kweli, ni namna gani naweza kujiepusha na chumaulete.
Nipo katika mchakato wa kufungua biashara mahali, lakini nikiwa katika mchakato huu kuna jamaa aliniambia, "aisee kuwa makini na chumaulete mtaa huu"
Nahtaji kujua yafuatayo,
Ni kweli chuma ulete ipo i mean inafanya kazi? Au ni story tu za mtaani? Kuna yeyote ambae ashawah kukutana nayo?
Ni kweli kabisa kwamba mtu anaweza akaja na buku, ukiichanganya kwenye droo yako yenye mil 50 zote zinapotea?
Je kama ni kweli, ni namna gani naweza kujiepusha na chumaulete.