Fabian the Jr
JF-Expert Member
- Aug 4, 2012
- 756
- 751
[emoji12] [emoji12]IPO Nina experience nayo ukishaona au kumjua mzee Fulani anahizo tabia basi hela yake usiichanganye iweke chini kisha ikanyange kwa mguu
Asubuhi ukiwa inafanya mahesabu ndo ruska kuichamganya na fedha nyengine ni hayo tu
We unamjua?IPO Nina experience nayo ukishaona au kumjua mzee Fulani anahizo tabia basi hela yake usiichanganye iweke chini kisha ikanyange kwa mguu
Asubuhi ukiwa inafanya mahesabu ndo ruska kuichamganya na fedha nyengine ni hayo tu
Kwan swali linasemajeWe unamjua?
Hiyo ipo, kwani ni aina fulani ya "mazingaombwe" na dawa yake kubwa ni kumtegemea Mungu kwa kufanya maombi katika shughuli zako za biashara.
Hii inataka kufanana na kile kisa cha wachawi wa Firauni (Farao) na Nabii Musa------ Wale wachawi walipotuka kamba zao zikaonekana kwa watazamaji zimekuwa nyoka lakini hazikuwa nyoka kidhahiri bali ilikuwa ni mazingaombwe viini macho tu ndipo Mungu akamfunulia Nabii Musa atupe fimbo yake na maramoja hila za wale wachawi zikabainika kwa fimbo ya Musa kumeza wale nyoka bandia wa wachawi. Mazingaombwe hapa ni ile hali ya macho kudanganyika kutokuona uhalisia wa tukio na hii hali ndiyo inatumiwa na hao chuma ulete, wanatumia elimu hiyo kukuhadaa na unashindwa kutambua na wewe mwenyewe unatoa ela kumpatia bila kutambua hadi hapo baadaye unakujaona hela hakuna na kuanza kushangaa imekuaje.
Uliweka kinga gani mkuuHaya mambo yapo,hata mimi nilikuwa mbishi sana lakini nilithibitisha mwenyewe na nikaweka kinga npaka leo mambo poa