Unaikumbuka Chelsea ya 2004/05

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Ilikuwa ndio msimu wa kwanza wa Jose Mourinho ndani ya kikosi hiki cha Chelsea.
Chelsea walichukua ubingwa wa EPL kwa point 95 ambazo hazijawahi kufikiwa na timu yoyote mpaka leo, huku wakiruhusu magoli 15 tu ndani ya EPL wakimaliza msimu kwa kufungwa mechi moja tu. Je unaikumbuka Chelsea hii? Karibuni tukumbushane...
 
Super Frank Lampard

Claudio Makelele makata umeme kutoka Los Blancos

William Galasy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…