Umenikumbusha story fulani hivi....ashukum si matusi Jamaa fulani alinunua redio kaseti, siku moja akawa ame-import kimwana. Akafungulia redio yake kwa sauti kubwa halafu akaisogeza karibu ya dirisha ili majirani wasisikie kinachoendelea ndani, Wakati wanaendelea na shughuli akapita mwizi dirishani akaingiza mkono kuiba ile redio. Kufuatana na mkao wao katika shughuli kimwana akamuona yule mwizi, akaanza kusema rediiiio,,redi..rediii.. rediii..jamaa akafikiri ni mbinu ya kimwana ili amhonge redio yake, goli lilipoingia kimwana akamalizia kwa kusema redio inaibiwa...redio imeibiwa!!!, jamaa si alitoka mkuki kumfukuza mwizi akiwa amesahau kuvaa nguo....majirani wakafikiri amewehuka...!!!!