Unaipa asilimia ngapi hii nyimbo mpya ya P the MC

fundi bishoo

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2018
Posts
14,264
Reaction score
27,132
mkali kutoka tamaduni music wa kuitwa p the mc AKA P mawenge
juzi kati kaachia ngoma yake mpya inaitwa NOMA MWANANGU
kwangu ni bonge la nyimbo japokua idea yake aloitumia inafanana na ile aloimba na jux (MIMI)
aiseee huyu jamaa ni nomah hanaga ngoma mbovu
wale wadau wa hip hop fanyeni kuisikiliza na muipe % zake

[HASHTAG]#YUNGTEmpeR[/HASHTAG]
[HASHTAG]#NOMAMWANANGU[/HASHTAG]
 
Bwana mawenge kajitahidi sana kwenye hili song , mimi nampa 80%.

Moja ya ngoma ninayobang nayo kwenye playlist yangu kwa sasa
 

Bonge la wimbo.
 
wadau mmegoma mamake hii sio poa
hahahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaassasasasasasasasasasasas
 


amini hivo mwanangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…