Unaishauri nini Simba?!

Unaishauri nini Simba?!

Chambou255

Member
Joined
Feb 15, 2019
Posts
16
Reaction score
19
Ikiwa wewe ni kama moja ya wadau wa soka la bongo ..ukipewa dakika kumi za kuongea na bodi ya klabu ya 'wekundu wa msimbazi' Simba utaipa ushauri gani kwenda mbele
 
1. Mpira ni team work na mazoezi: standard soccer, talent (kipaji) na attitude/fighting spirit.
2. mazoezi na standard soccer watu wengi wanaweza, talent ni ya waliojaaliwa na attitude/ fighting spirit nayo ni ya baadhi
3. unaweza kuwabadilisha wachezaji ila jiadhari na wenye talent na wenye fighting spirit, utasumbuka sana kupata replacement.
4. Simba imepungukiwa wenye talent: Okwi, Niyonzima na fighte: Kotei. Wale huwezi kuwabadilisha kirahisi.
5. Mzambique wana yule nahodha aliyefunga ana zaidi fighting spirit; kipaji kidogo na ....

Ni busara ya wenye timu na viongozi kuzitofautisha sifa hizo ndiyo za wachezaji bora siyo bora wachezaji. Huwezi kukosa magoli zaidi ya ma tatu ya wazi ukasema uko sawa. Hivi hata huyo Kagere au wengine walikuwa wanashindwa nini kumfuata kapombe kule waanzishe movement na pasi fupi?
 
Ikiwa wewe ni kama moja ya wadau wa soka la bongo ..ukipewa dakika kumi za kuongea na bodi ya klabu ya 'wekundu wa msimbazi' Simba utaipa ushauri gani kwenda mbele

Wawe na heshima...they should respect their opponents...waache majigambo, majivuno, kejeli na kudhalilisha timu pinzani...wawe na msemaji anayeheshimu watu na timu pinzani...timu imetengeneza maadui wengi kwa maneno na kejeli za msemaji wake...hii itajidhihirisha pia kwenye ligi kwani Simba itakamiwa na karibu timu zote za ligi ili kujibu dharau na kejeli za msemaji wake...Simba haitakuwa bingwa msimu huu kutokana na hilo...Simba pia waache hujuma kwa timu nyingine...wasiitegemee mno TFF iliyosheheni watu wa Simba...
 
Kutolewa ni jambo la kawaida. Sema jana kocha katutoa kwa mipango yake mibovu (mbinu zilifeli). Kikosi kilicho anza mechi ya Azam, kingeanza kile kile.

Ila ndiyo matokeo hayo
 
1. Mpira ni team work na mazoezi: standard soccer, talent (kipaji) na attitude/fighting spirit.
2. mazoezi na standard soccer watu wengi wanaweza, talent ni ya waliojaaliwa na attitude/ fighting spirit nayo ni ya baadhi
3. unaweza kuwabadilisha wachezaji ila jiadhari na wenye talent na wenye fighting spirit, utasumbuka sana kupata replacement.
4. Simba imepungukiwa wenye talent: Okwi, Niyonzima na fighte: Kotei. Wale huwezi kuwabadilisha kirahisi.
5. Mzambique wana yule nahodha aliyefunga ana zaidi fighting spirit; kipaji kidogo na ....

Ni busara ya wenye timu na viongozi kuzitofautisha sifa hizo ndiyo za wachezaji bora siyo bora wachezaji. Huwezi kukosa magoli zaidi ya ma tatu ya wazi ukasema uko sawa. Hivi hata huyo Kagere au wengine walikuwa wanashindwa nini kumfuata kapombe kule waanzishe movement na pasi fupi?
uchebe aachie timu haraka sana.
 
Cha muhimu ni club kuendelea kuishi katika misingi walio jiwekea kwa mwaka 2019 kutka katk mashindano no sehemu ya mchezo
 
1. Mpira ni team work na mazoezi: standard soccer, talent (kipaji) na attitude/fighting spirit.
2. mazoezi na standard soccer watu wengi wanaweza, talent ni ya waliojaaliwa na attitude/ fighting spirit nayo ni ya baadhi
3. unaweza kuwabadilisha wachezaji ila jiadhari na wenye talent na wenye fighting spirit, utasumbuka sana kupata replacement.
4. Simba imepungukiwa wenye talent: Okwi, Niyonzima na fighte: Kotei. Wale huwezi kuwabadilisha kirahisi.
5. Mzambique wana yule nahodha aliyefunga ana zaidi fighting spirit; kipaji kidogo na ....

Ni busara ya wenye timu na viongozi kuzitofautisha sifa hizo ndiyo za wachezaji bora siyo bora wachezaji. Huwezi kukosa magoli zaidi ya ma tatu ya wazi ukasema uko sawa. Hivi hata huyo Kagere au wengine walikuwa wanashindwa nini kumfuata kapombe kule waanzishe movement na pasi fupi?
Nafikiri unamzungumzia Luis Misquissone...yule kacheza Mamelod sundowns iliyochukua kombe la CAF Champions league..pale kaisha karudi kwao muwe mnauliza..mikimbio yake hatari sana na yule ndio amewavuruga mechi zote mbili..kipaji kama Chama kupiga danadana..jiulize kwa Nini Chama hajacheza SA(ambako ndio ndoto ya wazambia wengi)jibu rahisi yuko slow
 
Wapunguze mdomo aisee

Hasa mashabiki wao wana mdomo sana mchafu mnoo

Soka halipo hivyo !
 
1. Mpira ni team work na mazoezi: standard soccer, talent (kipaji) na attitude/fighting spirit.
2. mazoezi na standard soccer watu wengi wanaweza, talent ni ya waliojaaliwa na attitude/ fighting spirit nayo ni ya baadhi
3. unaweza kuwabadilisha wachezaji ila jiadhari na wenye talent na wenye fighting spirit, utasumbuka sana kupata replacement.
4. Simba imepungukiwa wenye talent: Okwi, Niyonzima na fighte: Kotei. Wale huwezi kuwabadilisha kirahisi.
5. Mzambique wana yule nahodha aliyefunga ana zaidi fighting spirit; kipaji kidogo na ....

Ni busara ya wenye timu na viongozi kuzitofautisha sifa hizo ndiyo za wachezaji bora siyo bora wachezaji. Huwezi kukosa magoli zaidi ya ma tatu ya wazi ukasema uko sawa. Hivi hata huyo Kagere au wengine walikuwa wanashindwa nini kumfuata kapombe kule waanzishe movement na pasi fupi?
Okwi, Niyonzima na Kotei sio excuse, Yanga wamemkosa Makambo (top class goal scorer), Ajib ( best assist midfield in TZ), Kakolanya (Stopper), Gadiel Michael...wamechukua wachezaji wapya kabisa na wanapata matokeo. Sema ukweli, ulichokosa wewe ni kocha tu, hilo tumelisema since time in memorial watu hawaelewi. Kwa taarifa yako Fragha anaweza kucheza namba ya Kotei vizuri kuliko hata Kotei, ana mark vizuri na anapandisha mashambulizi mbele. Wilker anaweza kucheza vizuri sana akitokea kulia ama kushoto, ana speed, anadribble, he can go past defenders na ana nguvu sana (majeruhi) na akina Shiboub, Kahata, etc wanaziba mapengo yote. Kule central back kuna Santos (typical central defender), Kennedy Juma, Mlipili. Timu limeenea kila idara, mpe hiyo timu Matola au hata Maxime watu ambao wamecheza mpira na wanaujua watakavyookota masifa.
 
Back
Top Bottom