mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 768
Happy workers day jana wana JF
naamini wengi wetu hapa tumeajiriwa kwenye ofisi mbalimbali na wachache wamejiajiri.........ni sawa!
tukirudi kwenye uhalisia wa maisha ya kila siku;pamoja na garama za maisha kuendelea kupaa bila matumaini ya kuongezeka mishahara........still wafanyakazi walio wengi wana mazingira yasiyo rasmi hasa kwenye vipato zaidi ya mishahara.
Tuanzie chini kwamba Je mishahara tunayopokea inatutosha?na kama haitoshi..tunaishije..!
Je wewe mshahara wako halali unakutosha?unaishi kwa mshahara pekee?....huna muda wa ziada kufanya biashara nyingine..so kipato chako kinaongezekaje..ufisadi utakua unaanzia hapa..tujadili
naamini wengi wetu hapa tumeajiriwa kwenye ofisi mbalimbali na wachache wamejiajiri.........ni sawa!
tukirudi kwenye uhalisia wa maisha ya kila siku;pamoja na garama za maisha kuendelea kupaa bila matumaini ya kuongezeka mishahara........still wafanyakazi walio wengi wana mazingira yasiyo rasmi hasa kwenye vipato zaidi ya mishahara.
Tuanzie chini kwamba Je mishahara tunayopokea inatutosha?na kama haitoshi..tunaishije..!
Je wewe mshahara wako halali unakutosha?unaishi kwa mshahara pekee?....huna muda wa ziada kufanya biashara nyingine..so kipato chako kinaongezekaje..ufisadi utakua unaanzia hapa..tujadili