Unaishije na wanyarwanda mtaani kwenu? Tabia zao zipoje? Ujirani wenu upoje?! Sifa zao zipoje?

toriyama

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2014
Posts
1,139
Reaction score
2,223
Unaishije na wanyarwanda mtaani kwenu? Tabia zao zipoje? Ujirani wenu upoje?! Sifa zao zipoje?

Uzi maalumu wa kujua mienendo za majirani tunaoishi nao ambao asili yao ni kutoka Rwanda namna wanavyoishi mtaani pamoja na tabia zote



Karibuni tushirikishane story kuhusu wao.
 
Ni wapuuzi na wabaguzi wakati hawana lolote halafu wanawake wao Wana maji sana
Maeneo jirani kagera, Uganda na maeneo ya huko wanawake wa kule Wana asili hiyo tukisema ni Chakula labda ndizi , itakuwa uwongo maana wachaga pia wanatumia ndizi nadhani ni asili yao tu maji
 
Ni Kama Hawa Wengine Majirani Zangu Ambao Si Wanyarwanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…