Unaitaji mke wa ndoa?

Unaitaji mke wa ndoa?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Tuma jina unaloitaji la mkeo mtarajiwa...umbo lake unaloitaji awe,,urefu/ufupielimu yake/aweje tumeanzisha maombi rasmi kanisan kwetu la victroy churchkuombea wale wanaoitaji ndoa na wale waliokata tamaa pm upate baraka za ndoa
 
heee how about mme, mie nataka mme mthungu mwenye pesa na elimu ya juu, awe anaishi Dubai na anaendesha Range Rover, awe mzee au kijana it doesnt matter, ony money matters! thank you. naishi manzese naitwa Ngema! ha ha ha:smilez:
 
heee how about mme, mie nataka mme mthungu mwenye pesa na elimu ya juu, awe anaishi Dubai na anaendesha Range Rover, awe mzee au kijana it doesnt matter, ony money matters! thank you. naishi manzese naitwa Ngema! ha ha ha:smilez:

IPO HAPA.....:A S-heart-2:
 
siku kukiwa na maombo ya kuombea wanaotafuta mume nishtue....:A S shade:
 
wewe mwenyewe inabidi uombewe!


amen
binafsi naomba usuniache kwenye maombi yako unajua kwenye ndoa shetan akiona ina furaha anahangaika sana kutafuta kutokuwa na amani na kinachotutoa hapo ni maombi ahsante sana mtumishi kwa kunikumbusha ....tunaitaji kuombeana wengi wanahangaika baada ya kupata mke/mume wanasahau kuendelea kuombea ndoa zao matokeo yake yakianza kuyakuta wanaanza kuamka usiki kukesha vyema jaribu kuanza kukesha kabla ya hapo uone kama shetan atakunusa wacha kukugusa
ubarikiwe baba/mama
 
Mke mwema hutoka kwa Bwana(Mungu)..

Belinda huo mdomo kwenye avatar ni utata mtupu, nikifanikiwa kuuona mdomo huu hata kwa bibi kizee lazima nitangaze ndoa, sitahitaji maombi tena
 
heee how about mme, mie nataka mme mthungu mwenye pesa na elimu ya juu, awe anaishi Dubai na anaendesha Range Rover, awe mzee au kijana it doesnt matter, ony money matters! thank you. naishi manzese naitwa Ngema! ha ha ha:smilez:


we ni Mange nini?
 
Tuma jina unaloitaji la mkeo mtarajiwa...umbo lake unaloitaji awe,,urefu/ufupielimu yake/aweje tumeanzisha maombi rasmi kanisan kwetu la victroy churchkuombea wale wanaoitaji ndoa na wale waliokata tamaa pm upate baraka za ndoa


sasa hao wake wanapatikana hapo kanisani kwenu au mungu atawashusha?
 
Mie natafuta mwanamke mwenye hela, asiwe tajiri sana lakini angalu alingane na binti wa Bill Gates au hata Carlos Slim, kwa ukosefu hata mtoto wa Rosram aziz, naomba uniombee sana
 
Back
Top Bottom