Unaitumiaje samsung health app katika kuweka mwili wako vizuri? (Physically fit)

Unaitumiaje samsung health app katika kuweka mwili wako vizuri? (Physically fit)

GANG MO

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2016
Posts
2,092
Reaction score
2,210
Habari za wakati huu wanamichezo. Naamini wengi wenu au baadhi yenu humu jukwaani mnatumia samsung phones. Sasa basi samsung wana application inaitwa samsung health
20190820_090217.jpg

Kazi ya hii app ni ku track your fitness, weight, diet, food & sleep. Hii app huweza kurecord na kuainisha shughuli zako za kila siku na mazoea kwa lengo la kukusaidia kukeep health lifestyle.

Whether you walk or run, hike or bike, play indoor or outdoor sports, you can add and track the various physical exercises and activities in a single step using the various built-in trackers.

Mimi napenda kufamya mazoezi ya kukimbia (jogging) asubuh kabla ya kwenda kazini. Nimekuwa nikiifurahia sana kwa sababu inaonesha km nilizokimbia na kutrack njia niliyopita kwa kutumia GPS in high accuracy
20190820_090557.jpg

pia huonesha speed niliyokimbia na kuonesha elevation na kuchora graph.

Naamini kuna wengine mnaitumia pia hii app. Naomba uweze kushirikisha uzoefu wako katika kuitumia hii app.

Japo kuna baadhi ya maneno kwenye workout details siyaelewi maana zake. Naamimini wataalamu mtanisaidi. Maneno hayo ni

Avg. Pace
Avg. Cadence

Nawasilisha

20190820_091254.jpg


20190820_091234.jpg
 
Habari za wakati huu wanamichezo. Naamini wengi wenu au baadhi yenu humu jukwaani mnatumia samsung phones. Sasa basi samsung wana application inaitwa samsung health
View attachment 1185834

Kazi ya hii app ni ku track your fitness, weight, diet, food & sleep. Hii app huweza kurecord na kuainisha shughuli zako za kila siku na mazoea kwa lengo la kukusaidia kukeep health lifestyle.

Whether you walk or run, hike or bike, play indoor or outdoor sports, you can add and track the various physical exercises and activities in a single step using the various built-in trackers.

Mimi napenda kufamya mazoezi ya kukimbia (jogging) asubuh kabla ya kwenda kazini. Nimekuwa nikiifurahia sana kwa sababu inaonesha km nilizokimbia na kutrack njia niliyopita kwa kutumia GPS in high accuracy
View attachment 1185835
pia huonesha speed niliyokimbia na kuonesha elevation na kuchora graph.

Naamini kuna wengine mnaitumia pia hii app. Naomba uweze kushirikisha uzoefu wako katika kuitumia hii app.

Japo kuna baadhi ya maneno kwenye workout details siyaelewi maana zake. Naamimini wataalamu mtanisaidi. Maneno hayo ni

Avg. Pace
Avg. Cadence

Nawasilisha

View attachment 1185836

View attachment 1185837
Maashallah umenisaidia nami kujua baadhi ya vitu ambavyo sikua nikivijua ijapo ilikua ninavitumia
 
Mkuu mimi tizi langu kubwa ni kuruka kamba...sasa natumia Samsung na hii app ninayo. Naitumiaje kwenye kuruka kamba
Ok fanya yafuatayo kujaribu kuitumia
1. Fungua app na tafuta s3hemu pameandikwa "manage items". Angalia kwenye hii picha
Screenshot_20190820-114720.jpg


2. Fungua hiyo manage items kisha utaona orodha ndefu ya mazoezi. Shuka chini na chagua "rope skipping" kisha iwashe iwe on.

Screenshot_20190820-114402.jpg

3. Baada ya kuifungua na kuiwasha utarud nyuma na kuona imejiongeza kwenye orodha kama hivi

Screenshot_20190820-114456.jpg


4. Uta "start" na kuiruhusu iweze kutrack. Hapa unaweza iweka hata mfuko wa shat lako na kuendelea kuruka. Baada ya kumaliza itaonesha record yako. Lakin kwa kuanza jaribu kuishika mkononi tu na kuangalia inafanya vipi kazi.
Nawasilisah
Screenshot_20190820-114557.jpg
 
Huo mchoro wa kwanza kabisa kuna mahali unaonesha kasi ya sifuri (0), ulikuwa umegafua ukakaa chini mkuu au!?
 
Back
Top Bottom