Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,550
- 39,949
Hello...
Jijini hapa mihangiko mingi.
Wengine wamwaga zege.. Jioni mtu yuko hoi. Anaamka usiku anarudi usiku muda hautoshi.
Huo muda wa kwenye daladala wakati wa kusafiri. Ndio muda wengine wakamaria wanahangaika wanageuka na gari kwa ghalama ya ziada ili wapate muda watengeneze mikeka.
Wengine ndio muda wetu kupitia text mbalimbali na kuzijibu.
Kupishwa ni hisani, pambana ukijijua hali yako hairuhusu basi fanya kama wafanyavyo wengine geuka na gari upate kukaa..
Kama una haraka basi kubali kushikilia bomba hakuna namna.
Jijini hapa mihangiko mingi.
Wengine wamwaga zege.. Jioni mtu yuko hoi. Anaamka usiku anarudi usiku muda hautoshi.
Huo muda wa kwenye daladala wakati wa kusafiri. Ndio muda wengine wakamaria wanahangaika wanageuka na gari kwa ghalama ya ziada ili wapate muda watengeneze mikeka.
Wengine ndio muda wetu kupitia text mbalimbali na kuzijibu.
Kupishwa ni hisani, pambana ukijijua hali yako hairuhusu basi fanya kama wafanyavyo wengine geuka na gari upate kukaa..
Kama una haraka basi kubali kushikilia bomba hakuna namna.