Unajisikiaje kuishi kwenye ulimwengu ambao Simu inalindwa kuliko hata sehemu za siri ?

Unajisikiaje kuishi kwenye ulimwengu ambao Simu inalindwa kuliko hata sehemu za siri ?

HUMAN ERROR

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2024
Posts
318
Reaction score
627
Kuna muda huwa nawaangalia wazee na watu ambao umri umekwenda huwa najiuliza huwa wanatuonaje vijana , siku hizi starehe nyingi na wao nadhani baadhi wanazipenda nyingine zinawashangaza .

Simu ina password ya kuifungua , kila application ndani ina password yaani imewekewa kila ulinzi mpaka bafuni .

So funny vitu vingi tunavyovilinda ndio tunavyopost mitandaoni, yaani simu inalindwa kuliko Nyeti .
 
tatizo ni iQ ndogo, ulimbukeni wa vitu vya kizungu haswa kwa sisi wa_Africa tuko materialistic mno.
 
Kuna muda huwa nawaangalia wazee na watu ambao umri umekwenda huwa najiuliza huwa wanatuonaje vijana , siku hizi starehe nyingi na wao nadhani baadhi wanazipenda nyingine zinawashangaza .

Simu ina password ya kuifungua , kila application ndani ina password yaani imewekewa kila ulinzi mpaka bafuni .

So funny vitu vingi tunavyovilinda ndio tunavyopost mitandaoni, yaani simu inalindwa kuliko Nyeti .
Hivi sehemu za siri bado zina usiri ule ule?
 
Kwa upande wangu naona ni uchaguzi wa mtu tu binafsi,ni sehemu ya faragha pia,kuna watu simu zao zinahifadhi nyaraka na taarifa muhimu sana,kwahiyo kila mtu ana uhuru wa kufanya chaguzi zake

Na ndio maana watengenezaji waliweka hizo huduma kwa kujua umuhimu wake

Binafsi napinga kupekuana katika simu iwe kwa wanandoa au wasio wanandoa
 
Sehemu za Siri siku hizi zinapelekewa moto na watu wa kila aina mpaka zimepanuka na kuwa na kina kirefu utadhani 'shimo la tewa'
 
HILI NALO MKALITAZAME.

Nawaagiza akina Kasimu na Kamanda Muliro mfanye uchunguzi yakinifu.
 
Siri muhimu sana hasa kipindi hchi ,

ww unataka ushike simu yangu kwani ya kwako ,
 
Back
Top Bottom