DON KILLUMINATI Senior Member Joined Jan 2, 2011 Posts 192 Reaction score 83 Jan 14, 2011 #1 ....... WAKATI MFUKONI HUNA KITU, HUJALA, WATOTO HAWAJALA, BANK SALIO HALISOMI, WALLET HAINA HATA SH. 500?
....... WAKATI MFUKONI HUNA KITU, HUJALA, WATOTO HAWAJALA, BANK SALIO HALISOMI, WALLET HAINA HATA SH. 500?
Preta JF-Expert Member Joined Nov 28, 2009 Posts 24,320 Reaction score 18,852 Jan 14, 2011 #2 unatazama.....unatambaa mbele
Ms Judith JF-Expert Member Joined Dec 24, 2010 Posts 2,563 Reaction score 929 Jan 14, 2011 #3 kama siku zote tu, manake sie wengine ndiyo maisha yetu ya kila siku
Maria Roza JF-Expert Member Joined Apr 1, 2009 Posts 6,803 Reaction score 1,601 Jan 14, 2011 #4 Nai print nikatumie:smile-big:
G Gad ONEYA JF-Expert Member Joined Oct 26, 2010 Posts 2,629 Reaction score 172 Jan 14, 2011 #5 Maumivu!
mikatabafeki JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 12,771 Reaction score 4,649 Jan 14, 2011 #6 namsikitikiatu huyo tembo hapo mana amesimama toka mwaka ambao hela imekua printed hajawajhi kumove wala kula.
namsikitikiatu huyo tembo hapo mana amesimama toka mwaka ambao hela imekua printed hajawajhi kumove wala kula.
Mpasuajipu JF-Expert Member Joined Oct 22, 2010 Posts 836 Reaction score 50 Jan 14, 2011 #7 Nadhani hii siyo pesa halali kwa kuwa imesainiwa na Mzee PESAMBILI na BALALI. Nitakachofanya tamfuata PESAMBILI anipatie PESAMOJA maana yeye tayari anazo mbili.:car:
Nadhani hii siyo pesa halali kwa kuwa imesainiwa na Mzee PESAMBILI na BALALI. Nitakachofanya tamfuata PESAMBILI anipatie PESAMOJA maana yeye tayari anazo mbili.:car:
BABA JUNJO JF-Expert Member Joined Nov 9, 2010 Posts 241 Reaction score 14 Jan 14, 2011 #8 Najisikia vibaya nikiiona hiyo sahihi ya Mramba natamani niichanechane nina hasira naye kichizi.
L limited JF-Expert Member Joined Feb 18, 2009 Posts 312 Reaction score 43 Jan 15, 2011 #9 that is not funny!!!!!!!!!!!!!!!!:Cry::Cry::Cry::Cry::Cry::Cry::Cry::Cry::Cry::Cry::Cry:
Y yesaya ibrahim Member Joined Jan 13, 2011 Posts 5 Reaction score 0 Jan 15, 2011 #10 napata hope,maana tayari nimemeza kila kitu imebaki kuichakachua