Unajua asili ya Mercedes Benz???

hapana sijui....ni wapi?
<!-- google_ad_section_end -->
Si pale buguruni kwa mnyamani, kona ya kwanza ndo panaitwa Marcedez Benz
 
I dont know if I have to learn anything in this post!
 
Can you tell me the meaning of that underwear and that ring?How did it come to be a mark of the famous cars?
 
Naihusudisha sana hii gari ina class ya pekee yake katika magari yote duniani ikifuatiwa na ultimate driving machine, BMW. Ukiingia kwenye zile za class ya juu hata njaa inakimbia.:car:
Acha uhuni boflo wenyewe wakikuona wanaweza kabisa kukufungulia mashtaka.
 
unajua maana ya pichaa??

1. i dont know, 2. i dont know if what i know about picture is a picture 3. i dont know if what i know about a picture is what you know, so tell me please Mkuu
 
Tuambie maana yake tujue, sielewi kwa picha ya chupi na usukani,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…