Kama Mungu amekili mwenyewe hawa viumbe jau tuish nao kwa red alarm......God sio mjingaUnakosea sana kuwa na mtazamo huo mkuu.
Ujue tu kuwa "mwanamke" yupo vile alivyo kwa sababu ya mwanaume.
Katika uongozi, inaaminika kuwa "everything rises and falls under the leadership". Mwanaume ni kiongozi. Ukiona "mwanamke" kawa "mdudu" ni kwa sababu "mwanaume" hajasimama vyema kwenye nafasi yake.
Inawezekana tabasamu lako Luna makosa ya "kiufundi".Nimejaribu kuassume hapa yule dada wa kimeru ninavyompa tabasam kila mara naona ni swala ambalo haliwezekani
Huyo mke wako ulimwoa akiwa bikira? Tuanzie hapo kwanza. Ukute unatumia energy kubwa kufurahisha zimwi humo ndani afu anakuchora tu.Mkuu, kuna kitu hujajua kuhusu wanawake. Simaanishi kila mwanamke, bali mke "wako" tu. Ukijua kumpenda "kiusahihi", utaupata moyo wake.
Kama hujui kuwa mwanamke anaweza akafikia hatua ya kuhakikisha kuwa anaishi kwa ajili ya "kumpendeza" mume wake, niulize mimi.
Lakini namna pekee ya kufikia hiyo hatua ni kwa njia ya upendo.
Ukimshibisha upendo, atakufaidisha kwa unyenyekevu.
Tatizo lako huna akili. Hatuna namna ya kukusaidia. Tayari una psychopathy disorder.Inawezekana tabasamu lako Luna makosa ya "kiufundi".
Fikiria, wanyama kama mbwa, samaki, n.k., wanafundishwa na "muelimika', sembuse binadamu?
Unaweza "kumfinyanga" mke wako kwa kutumia upendo.
Ni kwa nini Mungu kasema hivyo? Ni kwa sababu wanawake wana akili. Usipimteka kwa upendo, anaweza akakuuza bila wewe kujua.Kama Mungu amekili mwenyewe hawa viumbe jau tuish nao kwa red alarm......God sio mjinga
Dunia hapa ilipo kwa sababu ya tamaa za mwanamke...Ni kwa nini Mungu kasema hivyo? Ni kwa sababu wanawake wana akili. Usipimteka kwa upendo, anaweza akakuuza bila wewe kujua.
Na kwa kuwa umenukuu na Andiko, ni vyema kuendelea na Maandiko.
Waefeso inasemaje? MPENDE MKE WAKO KAMA MWILI WAKO.
Ukifanikiwa kumpenda kama unavyoupenda mwili wako, hautakosa kula matunda mema ya upendo wako.
Hapana! Ni kwa sababu ya uzembe wa "mwanaume"Dunia hapa ilipo kwa sababu ya tamaa za mwanamke...
Au kama hela hamna wajitahidi wampe Dollar
Uchizi huwa unaanza na kuchekacheka hovyo, tabasamu kila mara ni sawa na dalili za uchizi.Mwanamke! Kiumbe wa kipekee ambaye wanaume wengi hawajamfahamu kiusahihi!
Mwanamke, kiumbe "dhaifu" lakini mwenye nguvu ajabu!
Mwanamke ni kiwanda kinachoishi!
Mpe mchele, atakurudishia ukiwa umegeuzwa na kupewa jina jingine, wali!
Mhuzunishe, naye atakufanya "ulie" bila kupigwa!
Mwanamke! Mpe tabasamu...
Sitaki kukuambia athari ya tabasamu lako kwa mke wako, kama hujui! Itapendeza ukigundua mwenyewe. Na ukigundua, utaendelea kugundua na zaidi, na zaidi!! Ugunduzi mmoja utakupeleka kwenye ugunduzi mwingine. Itakuwa ni furaha baada ya Furaha!!!
Nakushauri kitu gani? Kugundua athari ya tabasamu lako kwa mke wako? Kwa jinsi gani? Fuata maelekezo hapa chini.
Kwa siku thelathini mfululizo, hakikisha Unafanya haya kila siku:
1. Kila umwonapo, tabasamu bila kujali kama anakuona au hakuoni
2. Uamkapo Asubuhi na hata urejeapo Jioni toka "kazini", n.k., msalimie kwa tabasamu!
3. Umalizapo kula chakula alichokupikia au kukutengea, mshukuru kwa maneno yanayosindikizwa na tabasamu!
4. Akiwa anapika, fanya kupita jikoni umwongeleshe neno lo lote zuri, likisindikizwa na tabasamu.
Na ukiona, labda umekaa sebuleni na yeye yupo, labda jikoni, halafu ukaona kama anapita uliko mara kwa mara, inawezekana akawa anahitaji umwongezee "dozi", tabasamu. Ukiweza, umfuate huko huko aliko ukapige naye stori kwa muda, au "full time", lakini hakikisha stori zinasindikizwa na tabasamu!
Fanya hivyo, na kabla ya mwezi kuisha, utaanza kugundua ambayo hukuwa ukiyafahamu kuhusu mwanamke. Hata kama ulidanganywa "jandoni" kuhusu mwanamke, ugunduzi wako utakuwa mwanzo wa kuanza kuujua ukweli halisi, wa "nguvu" ya mwanamke.
Katika kipindi hicho cha zoezi la kutabasamu, epuka kumwongelesha maneno ya kumvunja moyo au kumhuzunisha! Usimkosoe, na ikibidi kukosoa, ufanye hivyo kwa hekima na upendo mkubwa sana.
Ukiweza, uwe na diary ya kuandika kila siku kuhusu mke wako. Kila siku, uhakikishe unaandika jambo lo lote zuri linalomhusu, iwe ni sura yake, tabia yake, matendo yake, cho chote kile.
Kwa maneno mengine, uwe unayawinda mazuri yake kwa ajili ya kuripoti kitabuni, kwenye diary yako maalum kuhusu mke wako.
Fanya hivyo, na ndani ya mwezi mmoja unaweza ukagundua ugunduzi mzuri kumhusu mke wako, na mwanamke kwa ujumla, ugunduzi utakaokuacha kinywa wazi kwa furaha!
Unaweza kufanya hivyo?
Ni zoezi la siku thelathini tu lakini linaweza kukuletea manufaa makubwa sana!
Kimsingi, mwanaume ni mtoaji na mwanamke ni mpokeaji. Lakini, utoaji na upokeaji si kwa mtazamo uliouwasilisha kwenye comment yako.Au kama hela hamna wajitahidi wampe Dollar
Au kama kuna kidhahabu chochote hata cha kilo 2 we mpe tu kitamsogeza kwa siku kadhaa.
Hata siku ua birthday yake ukimpa zawadi ya Harrier sio mbaya
Ndio uzuri wa wanawake Mungu kawajalia yani wanaridhika kwa vitu vidogovidogo
Wazungu hawana hatimiliki ya upendo mkuu.Tafuta Hela ndugu yangu hayo mambo waachie wadhungu.
Mpaka dakika hakuna anayejua watakacho wanawakeMwanamke! Kiumbe wa kipekee ambaye wanaume wengi hawajamfahamu kiusahihi!
Mwanamke, kiumbe "dhaifu" lakini mwenye nguvu ajabu!
Mwanamke ni kiwanda kinachoishi!
Mpe mchele, atakurudishia ukiwa umegeuzwa na kupewa jina jingine, wali!
Mhuzunishe, naye atakufanya "ulie" bila kupigwa!
Mwanamke! Mpe tabasamu...
Sitaki kukuambia athari ya tabasamu lako kwa mke wako, kama hujui! Itapendeza ukigundua mwenyewe. Na ukigundua, utaendelea kugundua na zaidi, na zaidi!! Ugunduzi mmoja utakupeleka kwenye ugunduzi mwingine. Itakuwa ni furaha baada ya Furaha!!!
Nakushauri kitu gani? Kugundua athari ya tabasamu lako kwa mke wako? Kwa jinsi gani? Fuata maelekezo hapa chini.
Kwa siku thelathini mfululizo, hakikisha Unafanya haya kila siku:
1. Kila umwonapo, tabasamu bila kujali kama anakuona au hakuoni
2. Uamkapo Asubuhi na hata urejeapo Jioni toka "kazini", n.k., msalimie kwa tabasamu!
3. Umalizapo kula chakula alichokupikia au kukutengea, mshukuru kwa maneno yanayosindikizwa na tabasamu!
4. Akiwa anapika, fanya kupita jikoni umwongeleshe neno lo lote zuri, likisindikizwa na tabasamu.
Na ukiona, labda umekaa sebuleni na yeye yupo, labda jikoni, halafu ukaona kama anapita uliko mara kwa mara, inawezekana akawa anahitaji umwongezee "dozi", tabasamu. Ukiweza, umfuate huko huko aliko ukapige naye stori kwa muda, au "full time", lakini hakikisha stori zinasindikizwa na tabasamu!
Fanya hivyo, na kabla ya mwezi kuisha, utaanza kugundua ambayo hukuwa ukiyafahamu kuhusu mwanamke. Hata kama ulidanganywa "jandoni" kuhusu mwanamke, ugunduzi wako utakuwa mwanzo wa kuanza kuujua ukweli halisi, wa "nguvu" ya mwanamke.
Katika kipindi hicho cha zoezi la kutabasamu, epuka kumwongelesha maneno ya kumvunja moyo au kumhuzunisha! Usimkosoe, na ikibidi kukosoa, ufanye hivyo kwa hekima na upendo mkubwa sana.
Ukiweza, uwe na diary ya kuandika kila siku kuhusu mke wako. Kila siku, uhakikishe unaandika jambo lo lote zuri linalomhusu, iwe ni sura yake, tabia yake, matendo yake, cho chote kile.
Kwa maneno mengine, uwe unayawinda mazuri yake kwa ajili ya kuripoti kitabuni, kwenye diary yako maalum kuhusu mke wako.
Fanya hivyo, na ndani ya mwezi mmoja unaweza ukagundua ugunduzi mzuri kumhusu mke wako, na mwanamke kwa ujumla, ugunduzi utakaokuacha kinywa wazi kwa furaha!
Unaweza kufanya hivyo?
Ni zoezi la siku thelathini tu lakini linaweza kukuletea manufaa makubwa sana!
Kuchekacheka hovyo ni tatizo, kadhalika na kutabasamu bila kujua sababu ya kufanya hivyo.Uchizi huwa unaanza na kuchekacheka hovyo, tabasamu kila mara ni sawa na dalili za uchizi.
Mapenzi yana kanuni, ila maranyingine hizo kanuni huwa zinafeli vibaya.
Utajichekesha na bado atakuona nyau tu...akiwa na jambo lake atalifanya tu ( elewa neno JAMBO).
Ni vizuri sana mkuu. Lakini usije ukaleta mada hapa kuomba ushauri ooh nishaurini nimechapiwa!Mm hakuna mwanamke na mdate asinipende na tabia yangu ni niko serious mda mwingi na nawaza sana hela .sijawah kuwa nampigia simu mwanamke sijui uko wap sijui nakumiss big NO .
Wanachokitaka ni jambo moja. Na wanachokihitaji ni jambo jingine.Mpaka dakika hakuna anayejua watakacho wanawake
🤣Ukitabasamu tu utaulizwa maswali dabodabo
1. Umeshapata mchepuko mwingine eeh?
2. Umepata hela hutaki kuniambia eeh ?
Nafikiri watu wengine huwa hawatofautishi hofu na heshima.
Mkuu, ulichomaanisha hapo ni hofu na nidhamu ya woga.
Mkeo akikuogopa, atakupa nidhamu ya woga. Lakini akikupenda, atakupa unyenyekevu unaosukumwa na upendo na siyo nidhamu ya woga.
Mke anayekuheshimu kwa heshima ya upendo, atakuwa upande wako wakati wote, hata ukiwa mbali. Atakuwa kama "mlinzi" wako.