chriss brown
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 292
- 63
Tena huyo mtu anakupaje,,we c umeoa kaka tuachie sisi ma bachelor...uachiwe wewe huwezi kutafuta wakwako??mpaka tu shee huyo huyo...achen ushamba,nimeoa ndio,lakin ni nyumba ndogo yangu.nawakilisha..
tupa fesibuku..........leta ingine yenye mashiko.
Kwa hiyo kumbe ni ujumbe spesho kwa mtu?? M-pm basi au ongea nae face to face. Pole sanaMemo,hata huku ni member mzur tu.kwa hiyo Ujumbe kaupata.c lazima kutupa fesibuku tu..asante lakini.
:lol::lol:jamani chriss brown, naupenda ule wimbo wako year 3x . duh mme shake vizuri, utanifundisha eeh. LOL
Kwa hiyo kumbe ni ujumbe spesho kwa mtu?? M-pm basi au ongea nae face to face. Pole sana
hata mimi sijaona tatizo kabisa nionacho hapo wengi wetu ni uchoyo tuu!sioni tatizo mana wote waliumbwa kwa ajili yetu wote
Tena huyo mtu anakupaje,,we c umeoa kaka tuachie sisi ma bachelor...uachiwe wewe huwezi kutafuta wakwako??mpaka tu shee huyo huyo...achen ushamba,nimeoa ndio,lakin ni nyumba ndogo yangu.nawakilisha..
kila mtu aliumbwa na mtu wake,siyo wa kushare elewa hilo.nani aibu.sioni tatizo mana wote waliumbwa kwa ajili yetu wote
acha wivu na nyumba ndogo wewe fanya wivu kwa mkeo kama watu wamefika bei wacha waoe, Mpende mkeo vimeo achana navyo!
kila mtu aliumbwa na mtu wake,siyo wa kushare elewa hilo.nani aibu.
nna hao wawili tu..Mbona ww unashare na mkeo kama kila mtu aliumbwa na wake.Jiheshimu magonjwa kaka
kila mtu aliumbwa na mtu wake,siyo wa kushare elewa hilo.nani aibu.