chriss brown
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 292
- 63
- Thread starter
-
- #21
Yaaani maneno yako mwenyewe yanajikanyaga...! Unaposema kila mtu kaumbwa na mtu wake so haiwezekani ku-share unamaanisha nini wakati wewe unataka watu wafanye sharing juu yako....hebu KAJIPANGE ndo urudi hapa..it seems HUJIELEWI!
acha wivu na nyumba ndogo wewe fanya wivu kwa mkeo kama watu wamefika bei wacha waoe, Mpende mkeo vimeo achana navyo!
hajui kujinadi nin? mwaga sera upewe ushindi, uipiti kizembezembe.