Unajua kama Jogoo ni zaidi ya kitoweo. Kamata mambo 10 kuhusu jogoo

Upo sahihi kwenye jogoo kucheza na muda,hakosei.
Mtaani kwetu yalikuwa yapokezana ikifika mida yao kuwika kama wanapiga stori au kupeana taarifa.aisee hata uwe mvivu unaamka.
Halafu kuku ukiwa unarudi home jioni kwa mguu unakuta kundi la kuku ambao ni wako, wako nyuma yako toka mbali ufungue geti nao waingie.wanakariri sura.
 
Ngoja nichore guta langu picha ya jogoo
 
Ni nzuri sema Tanzania na Africa kwa ujumla hufahamu mengi kuhusu Jogoo. Hivyo umeishia kuwaponda zaidi.
 
Sawa jogoo nimekuelewa
 
AISEe. MM yule jogoo anaewika usiku wa mananr hua ananitidha sana.
 
Silka
 
Mimi jogoo wangu ni kupalilia penzi la ndoa na wife ,jogoo wangu awika haswa na nimepata vitoto vya nguvu

Liverpoo wanatisha epl kwa kuitwa majogoo ya jiji la london

USSR

Jogoo ni Tottenham sio Liverpool
 
Ngoja tukawaungishe wauza majogoo pale soko la kisutu.
Tununue jogoo 😀😀😀
 
Nzuri sana hii Mkuu; - hata Shafii the Don alisema hivyo kule Youtube.👍
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…