unajua katika forex Kuna trick za kucontrol emotion katika trading

unajua katika forex Kuna trick za kucontrol emotion katika trading

nimoisa

Member
Joined
Jan 14, 2017
Posts
8
Reaction score
11
Leo nimeona nisaidie baadhi ya trader wenzangu ambazo tunastrugle katika level tofauti tofauti...ambao wanastrugle kutime market na kukaa mda mrefu kwenye screen kwa kuogopa kumiss trade.

Kuwa professional trader wanatric ya resistance clearing na kucalcurate time Ili kuwa accurate 70% na above ya trade zao.

So Amna emotion Bali Kuna right knowledge...
 
Kuwa professional trader wanatric ya resistance clearing na kucalcurate time Ili kuwa accurate 70% na above ya trade zao.

So Amna emotion Bali Kuna right knowledge...
Bado nahitaji kusikia zaidi kuhusu:
  • professional trader!
  • time calculation!
  • right knowledge!
  • resistance clearing!
  • accurate 70% !!!
  • emotions!
Nakubali kuna vitu sivijui.
 
Tupe hints, minninachjuwa ni kuset alarm ktk area of interest,preferably season etc
Leo nimeona nisaidie baadhi ya trader wenzangu ambazo tunastrugle katika level tofauti tofauti...ambao wanastrugle kutime market na kukaa mda mrefu kwenye screen kwa kuogopa kumiss trade.

Kuwa professional trader wanatric ya resistance clearing na kucalcurate time Ili kuwa accurate 70% na above ya trade zao.

So Amna emotion Bali Kuna right knowledge...
 
Ila kuna pro nyie kha
 

Attachments

  • Screenshot_20240305-064852_Instagram.jpg
    Screenshot_20240305-064852_Instagram.jpg
    160.6 KB · Views: 41
Chief soma vizuri...badala ya kufight at least ungetaka kujua...ikoje Ili uone ukiaply kwel au lah......
Ulichofanya post #1
- Ni sawa na "yule" anayechukua "kijiko kimoja kilicho jaa sukari", na kukiweka kwenye "pipa moja la maji ya chumvi.", Kisha na kuwaeleza wengine wajaribu kutafakari ladha ya sukari iliyowekwa kwenye pipa la maji. | Je unategemea nini hapo??

Ukiamua kufunguka kuhusu jambao au kitu fulani ili tujadili basi funguka kwa kina chake ili kufanya mjadala uwe wa kueleweka na wenye tija.

Mfano: Hapa nimezungumzia kuhusu COT report vs Traders | Special Thread: COT Data Analysis & Trading Signals | Ambapo nimeibua mjadala na nimeeleza kwa kina kwa lengo la kujifunza na kuibua mjadala FFcom kuhusiana na COT, Baada ya kuhakiki na kukuta hakuna mjadala wa COT ambao ni endevu hapo FF.
Bado nahitaji kusikia zaidi kuhusu:
  • professional trader
  • time calculation
  • right knowledge
  • resistance clearing
  • accurate 70%
  • emotions
Nakubali kuna vitu sivijui.
 
Tupe hints, minninachjuwa ni kuset alarm ktk area of interest,preferably season etc

Mjomba nimesema tupe hints af nikaandik nikijuacho kwa mimi kosa ipo wap
Sorry bro...ila Iko ivi Kila candle moja ya masaa 4 ni part yaa session labda London,newyork au Tokyo,so ukishajua direction unayotaka kutrade...make sure masaa 4ya candle lazima yaaabsorb order za session zote zilizoagainst na ww....kwa kutumia volume.....baada ya hapo kunakua hakuna resistance au low resistance...then hata kama utakua umekosea entry still momentum itakuback up......by that mean u don't fight algolithim Wala kuwa against anybody ...we unachoitaji ni big prayer waabsorb order zote Ili uwe free....
 

Attachments

  • Screenshot (85)_035306.png
    Screenshot (85)_035306.png
    85.5 KB · Views: 35
  • Screenshot (86)_035334.png
    Screenshot (86)_035334.png
    94.7 KB · Views: 39
Ulichofanya post #1
- Ni sawa na "yule" anayechukua "kijiko kimoja kilicho jaa sukari", na kukiweka kwenye "pipa moja la maji ya chumvi.", Kisha na kuwaeleza wengine wajaribu kutafakari ladha ya sukari iliyowekwa kwenye pipa la maji. | Je unategemea nini hapo??

Ukiamua kufunguka kuhusu jambao au kitu fulani ili tujadili basi funguka kwa kina chake ili kufanya mjadala uwe wa kueleweka na wenye tija.

Mfano: Hapa nimezungumzia kuhusu COT report vs Traders | Special Thread: COT Data Analysis & Trading Signals | Ambapo nimeibua mjadala na nimeeleza kwa kina kwa lengo la kujifunza na kuibua mjadala FFcom kuhusiana na COT, Baada ya kuhakiki na kukuta hakuna mjadala wa COT ambao ni endevu hapo FF.
Mkuu unaweza kutafsiri COT report?
 
Sorry bro...ila Iko ivi Kila candle moja ya masaa 4 ni part yaa session labda London,newyork au Tokyo,so ukishajua direction unayotaka kutrade...make sure masaa 4ya candle lazima yaaabsorb order za session zote zilizoagainst na ww....kwa kutumia volume.....baada ya hapo kunakua hakuna resistance au low resistance...then hata kama utakua umekosea entry still momentum itakuback up......by that mean u don't fight algolithim Wala kuwa against anybody ...we unachoitaji ni big prayer waabsorb order zote Ili uwe free....
 
Back
Top Bottom