Unajua kibwagizo cha kampeini ya Ndiyo Katiba mpya? soma hapa

Unajua kibwagizo cha kampeini ya Ndiyo Katiba mpya? soma hapa

Rutunga M

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2009
Posts
1,769
Reaction score
1,390
Tanzania tunakosa watu creative kabisa au CCM inabidi wawafute kazi vijana wa propaganda pale lumumba.katika hatua za awali nimepata kipeperushi,kofia na tishrt za kampeini ya 'ndiyo' kwa katiba pendekezwa.kibwagizo chao ni kuwa:

'katika katiba pendekezwa,wakulima wamo,wafugaji wao,wanaume wamo,wanawake wamo,vijana wao,wavuvi wamo,walemavu wamo,wafanyakazi wamo nk' sasa unataka nini.

mimi sijaelewa au ni mgumu kuelewa,hivi kutajwa katika katiba ni issue au ndiyo malengo ya katiba?

naomba kujuzwa au tuwasaidie namna ya kufanya kampeini nzuri...
 
Hii ni katiba ya wauchumia tumbo,haina mtizamo mpana kwa maslahi ya taifa.Nafikiri walitamani hata kuweka majina ya watu!
 
Tanzania tunakosa watu creative kabisa au CCM inabidi wawafute kazi vijana wa propaganda pale rumumba.katika hatua za awali nimepata kipeperushi,kofia na tishrt za kampeini ya 'ndiyo' kwa katiba pendekezwa.kibwagizo chao ni kuwa:

'katika katiba pendekezwa,wakulima wamo,wafugaji wao,wanaume wamo,wanawake wamo,vijana wao,wavuvi wamo,walemavu wamo,wafanyakazi wamo nk' sasa unataka nini.

mimi sijaelewa au ni mgumu kuelewa,hivi kutajwa katika katiba ni issue au ndiyo malengo ya katiba?

naomba kujuzwa au tuwasaidie namna ya kufanya kampeini nzuri...

Kakojoe ukalale kama hujaelewa.
Rumumba=Lumumba.
 
Hii ni katiba ya wauchumia tumbo,haina mtizamo mpana kwa maslahi ya taifa.Nafikiri walitamani hata kuweka majina ya watu!

We ulitaka katiba bora kama ya chadema inayokataza wanachama wake kwenda mahakamani! Kwenda huko!
 
Hii ni katiba ya wauchumia tumbo,haina mtizamo mpana kwa maslahi ya taifa.Nafikiri walitamani hata kuweka majina ya watu!
Mi naona hapa hii katiba lengo lilikuwa kutaja majina. Kama Taifa, tujipange kuandika Katiba Mpya
 
Teh teh heee! hata mafisadi na wezi wa mali za umma wamo!
 
Mmekosa hoja sasa mnaamua kutumia lugha chafu na matusi kuhusu Katiba. Jiangalieni nyie watu wazima jamani!!
 
Tanzania tunakosa watu creative kabisa au CCM inabidi wawafute kazi vijana wa propaganda pale lumumba.katika hatua za awali nimepata kipeperushi,kofia na tishrt za kampeini ya 'ndiyo' kwa katiba pendekezwa.kibwagizo chao ni kuwa:

'katika katiba pendekezwa,wakulima wamo,wafugaji wao,wanaume wamo,wanawake wamo,vijana wao,wavuvi wamo,walemavu wamo,wafanyakazi wamo nk' sasa unataka nini.

mimi sijaelewa au ni mgumu kuelewa,hivi kutajwa katika katiba ni issue au ndiyo malengo ya katiba?

naomba kujuzwa au tuwasaidie namna ya kufanya kampeini nzuri...

achana na Mambo ya vibwagizo watanzania tujifunze kuwa na msimamo na shukrani....kelele zilipigwa sana hasa kwa vyama pinzani kuwa ni muda wa Tanzania inapaswa kupata mpya mchakato umefanyika tena kwa kushirikisha kila mtu na kumtaja kila mtu katika jamii eti unakuja mbele kusema haifai haki ya mungu watu wana MAZIWA kichwani badala ya kuwa na UBONGO .....UKAWA kama mabwege vile mnafikiri mnaweza kuteka akili za kila mtu kwa kutokuwepo KWa suala la SERIKALI TATU....mlitoka mapemaaaaa kuashiria Hamuwajali watanzania Mngekaa basi kutetea wananchi wenu Mnatoka halafu nani awasemee watanzania Sheeeeenzi mnakera sana
 
Back
Top Bottom