Mjombaaaa...Tazama kuleeee...Ile ni shuleee.....
Enzi za 'Mwalimu' hii tuliita KUSHIKA MASIKIO, ukitoka hapo unashika adabu mtindo mmoja.
Hii adhabu bomba sana tumepiga sana adhabu hizi enzi hizo sio siku hizi mwanafunzi akipigwa konzi tu kosa mpaka mazazi anakuja shule kulalamika.
na ikiwa kanuni/sheria, na adhabu ni halaliJapo haipo kwenye mtaala, kama inasaidia tuipitishe.