Unajua kingereza kilivyo iba neno la kijita?

Unajua kingereza kilivyo iba neno la kijita?

JITABOY

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2013
Posts
254
Reaction score
35
Wazungu walivyo koswa neno "any one" wakaiba neno la kijita "ANYONE" likiwa na maana ya "namimi" huku wao wakimaanisha "yeyote" hebu twmbie kikwenukwenu wameiba neno gani?
 
Wazungu walivyo koswa neno "any one" wakaiba neno la kijita "ANYONE" likiwa na maana ya "namimi" huku wao wakimaanisha "yeyote" hebu twmbie kikwenukwenu wameiba neno gani?
Approach na terminology ya thread hii, strictly speaking inafanya thread hii ikose sifa ya kuwekwa hapa. Please Invisible naomba uipeleke jukwaa la Jokes.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom