Unajua kuingiza chanel za bure kwenye DSTV (chizicomputer)

Nilikuwa nasubiri nifanikiwe, lakini imeshindikana, thanks again anyway...



Hata mimi napata hiyo IS7/10...

Msaada tafadhali

naona wengi wametoa thanks kuonyesha wamefanikiwa pls nawaomba warudi kuwasaidia wenzao kuona wapi wanapokwama me sina dstv ningeshajaribu
 
naona wengi wametoa thanks kuonyesha wamefanikiwa pls nawaomba warudi kuwasaidia wenzao kuona wapi wanapokwama me sina dstv ningeshajaribu

Lolest!
Dogo amekopi na kupaste kisha amezama mitini! Lolz
 
MTOA MADA UWE MAKINI NNA UNACHOKITOA KWA WADAU.
Uwezi pata hizo channelz iwapo Dish yako ipo position ya DSTV beaming satelite.
Msipende kupost vitu ambavyo ujavifanyia research. Hii inaboa sana
 
THANKS!! It's very useful.
 
Lolest!
Dogo amekopi na kupaste kisha amezama mitini! Lolz

ujue watu wanaochanganya zaidi niwale walogonga thanks kwamba wamenufaika na maelezo cha kushangaza nilipo waomba warudi kuelekeza wenzao hawajitokezi tucgonge thanx kwa ushabiki
 
shukrani mkubwa bt nataka kuuliza je haifuti zile za mwanzo? na unapata chanels ngapi?
 
sharing the crap!

Not sure if this boy is mentally OK!

Public PAS 7/10 kwenye DSTV?

w.*.*
 
Kama unapata is 7,10 ndiyo hiyo hiyo pas 7,10 zamani iliitwa panamsat (pas) sasa inaitwa intelsat (Is)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…