Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
Magari haya huwa na muda wa kutumia , kama tulivyo binadamu ?
utafiti ulifanywa mara nyingi na kutoa siri kuwa makampuni mengi hujua mwisho gari lako, hutokana na ufahamu wa materio wanayo tumia km cast au forged kabisa ,material wanayo tumia kwenye crank shaft amabyo ndo mhimu pamoja matirio blocks nyingi ,ndo maan nlNisan nyingi hapo haziwezi hasa kwenye nchi za joto, kwa mfano hapa Tanzania arusha na iringa sehemu za barid nisan hufanya vizuri kutokana na materio.ya blocks zao,
tafiti kwa nchi zilizo endelea gari huish miaka 8 tu toka ilipotengezwa ,kwa huziita scraper hawawez kwenda na gari walizo nunua huku kutokana na sheria kwao kukataza magari mabovu yaan yamepita miaka 8.
inakadilia kufikia km 300,000 kwa petrol kuwa gari ndo mwisho lazima ufanye overhaul
na diesel kufikia km 470,000.
lakn hutegemea km ulitunza gari lako vizuri pmoja kutumia oil inayotakiwa.
ukiagiza gari nunua kutokana na mwaka na kilometa. na yenye KM na mwaka juu ndo bei rangi.
rangi hufata baada ya hayo kutimizwa.
japokuwa waagizaji wengi hurudisha nyuma kilometa ila kwa magari ya ksasa ukirudisha waweza kujua.
by Goeffrey Madafa
utafiti ulifanywa mara nyingi na kutoa siri kuwa makampuni mengi hujua mwisho gari lako, hutokana na ufahamu wa materio wanayo tumia km cast au forged kabisa ,material wanayo tumia kwenye crank shaft amabyo ndo mhimu pamoja matirio blocks nyingi ,ndo maan nlNisan nyingi hapo haziwezi hasa kwenye nchi za joto, kwa mfano hapa Tanzania arusha na iringa sehemu za barid nisan hufanya vizuri kutokana na materio.ya blocks zao,
tafiti kwa nchi zilizo endelea gari huish miaka 8 tu toka ilipotengezwa ,kwa huziita scraper hawawez kwenda na gari walizo nunua huku kutokana na sheria kwao kukataza magari mabovu yaan yamepita miaka 8.
inakadilia kufikia km 300,000 kwa petrol kuwa gari ndo mwisho lazima ufanye overhaul
na diesel kufikia km 470,000.
lakn hutegemea km ulitunza gari lako vizuri pmoja kutumia oil inayotakiwa.
ukiagiza gari nunua kutokana na mwaka na kilometa. na yenye KM na mwaka juu ndo bei rangi.
rangi hufata baada ya hayo kutimizwa.
japokuwa waagizaji wengi hurudisha nyuma kilometa ila kwa magari ya ksasa ukirudisha waweza kujua.
by Goeffrey Madafa