Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
SAMAKI HUYU NI MTAMU SANA IKIWA UTAPATIA JINSI YA KUMPIKA NA MAPISHI HAYA HAYA UNAWEZA TUMIA PRAWNS WA AINA ZOTE, LOBSTA, CHAZA NA UDUVI IWE NI KUTENGENEZA MCHUZI SAFI AU KUTENGENEZA SUPU HATUA ZA MAPISHI NA MAHITAJI NI HIZI HIZI

MCHUZI MZITO WA PWEZA
MAHITAJI
70 gram kitunguu swaumu
150 gram kitunguu maji kata kata
150 gram karoti kata vipande vidogo
1 pilipili ya kijani fresh a pili pili mbuzi
1 kijiko kidogo cha chai unga wa korienda au girigilani
200 gram viazi ulaya
10 gram chumvi
150 gram pilipili hoho
160 gram mafuta ya kupikia
70 gram juisi ya limao
500 gram nyanya ya kopo
350 gram Maji
1 kilo ya pweza kata kata vipande vidogo vidogo
JINSI YA KUANDAA
Weka mafuta katika sufuria kisha acha ya pate moto baada ya hapo weka kitunguu maji kaanga kwa dakika 1 kisha weka kitunguu swaumu kaanga tena kwa dakika 1 kisha weka pweza na viazi ulaya kaanga kwa dakika 10 - 15 kwa moto wa wastani.
kisha weka unga wa korienda, caroti, pili pili hoho, chumvi, pili pili mbuzi, juisi ya limao kaanga kwa muda kisha weka nyanya ya kopo koroga vizuri kisha weka maji acha ichemke kwa dakika 5 mchuzi upungue itakua imeiva.
JINSI YA KUANDAA SUPU YA SAMAKI PWEZA ( OCTOPUS)
1 Samaki pweza mkate na msafishe vizuri
50 gram kitunguu swaumu
100 gram kitunguu maji chop chop

MCHUZI MZITO WA PWEZA
MAHITAJI
70 gram kitunguu swaumu
150 gram kitunguu maji kata kata
150 gram karoti kata vipande vidogo
1 pilipili ya kijani fresh a pili pili mbuzi
1 kijiko kidogo cha chai unga wa korienda au girigilani
200 gram viazi ulaya
10 gram chumvi
150 gram pilipili hoho
160 gram mafuta ya kupikia
70 gram juisi ya limao
500 gram nyanya ya kopo
350 gram Maji
1 kilo ya pweza kata kata vipande vidogo vidogo
JINSI YA KUANDAA
Weka mafuta katika sufuria kisha acha ya pate moto baada ya hapo weka kitunguu maji kaanga kwa dakika 1 kisha weka kitunguu swaumu kaanga tena kwa dakika 1 kisha weka pweza na viazi ulaya kaanga kwa dakika 10 - 15 kwa moto wa wastani.
kisha weka unga wa korienda, caroti, pili pili hoho, chumvi, pili pili mbuzi, juisi ya limao kaanga kwa muda kisha weka nyanya ya kopo koroga vizuri kisha weka maji acha ichemke kwa dakika 5 mchuzi upungue itakua imeiva.
JINSI YA KUANDAA SUPU YA SAMAKI PWEZA ( OCTOPUS)
1 Samaki pweza mkate na msafishe vizuri
50 gram kitunguu swaumu
100 gram kitunguu maji chop chop
100 gram kariti kata vipande vidogo
1 pilipili ya kijani fresh
1 kijiko kidogo cha chai unga wa korienda au girigilani
5 gram chumvi
5 gram pilipili manga
100 gram mafuta ya kupikia
50 gram juisi ya Limao
150 gram nyanya ya kopo
1.5 lita ya Maji
1 kilo ya pweza
JINSI A KUANDAA
Weka mafuta katika sufuria kisha kaanga kitunguu maji na kitunguu swaumu baada ya hapo weka pweza kaanga kwa dakika 10 kisha weka viungo vyote vilivyobakia kaanga kidogo kisha weka maji chemsha katika moto wa wastani kwa dakika 15 itakua imeiva mpatie mlaji ikiwa ya moto

Huu ni muonekano wa samaki pweza akiwa amekatwa na kusafishwa vizuri
JINSI A KUANDAA
Weka mafuta katika sufuria kisha kaanga kitunguu maji na kitunguu swaumu baada ya hapo weka pweza kaanga kwa dakika 10 kisha weka viungo vyote vilivyobakia kaanga kidogo kisha weka maji chemsha katika moto wa wastani kwa dakika 15 itakua imeiva mpatie mlaji ikiwa ya moto

Huu ni muonekano wa samaki pweza akiwa amekatwa na kusafishwa vizuri

