Alafu anaibuka mmama, anajisifia mimi huwa nikiwa mja mzito huwa napendaga sana bia, watoto wakimzingua anatumia zaidi bakora.Alcohol inaweza kupita kwenye damu ya mama na kumfikia mtoto...
Madhara yake ni huwa inaathiri ukuaji wa chembe hai za ubongo, chembe hai za uti wa mgongo na chembehai nyingine za mtoto mwilini..
Hii ni kutokana na mtoto kutokua na uwezo wa kupambana na alcohol sababu ini linakua bado halijatengemaa kwa kazi hio.
atakuwa hajui madhara ya kunywa pombe akiwa mmjamzitoAlafu anaibuka mmama, anajisifia mimi huwa nikiwa mja mzito huwa napendaga sana bia, watoto wakimzingua anatumia zaidi bakora.
Alcohol inaweza kupita kwenye damu ya mama na kumfikia mtoto...
Madhara yake ni huwa inaathiri ukuaji wa chembe hai za ubongo, chembe hai za uti wa mgongo na chembehai nyingine za mtoto mwilini..
Hii ni kutokana na mtoto kutokua na uwezo wa kupambana na alcohol sababu ini linakua bado halijatengemaa kwa kazi hio.
Ina madhara pia..Vipi kwa anayenyonyesha?
Oh okay...thanksIna madhara pia..
Maana wataalamu wana sema kiwango kitakacho kuwepo kwenye maziwa hakitotofautiana sana na kile kilichopo kwenye damu...
Sasa huwa na madhara kwa mtoto maana yeye anakua bado uwezo wake wakupambana na sumu ni mdogo