dalalitz
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 3,423
- 1,987
Habari Waungwana?
Bila shaka tutakubaliana kuwa kukutana katika
Mitandao ya kijamii kwa wengine kumepelekea
Ukaribu wenye tija, faraja na wa-kuenziwa
Hata hivyo, Binadamu tuna mengi,
Ni kwa mukhtadha huohuo basi,
Yawezekana mkafahamiana kupitia
Mitandao hiihii lakini mkatengeneza
Uadui,Kero,Usumbufu,Chuki au
Majuto yasiyoweza kusahaulika
Kirahisi maishani.
Tuzungumzie hapa MMU ya JF.
Bila kujali ni nani,kuogopa au
Kulindana,
'LIVE' Kabisa ieleze jamii ya jukwaa letu pendwa;
Memba gani kakukuna, anaendelea kukukuna pengine na hujawahi
Au pengine HUJUTII kumfahamu?
Lakini pia, Kuna wale Wazee wa KERO,
Waweke hadharani kwa majina na kero zao.
Ni mwendo wa PONGEZI NA KUTUMBUA MAJIPU UCHUNGU.
Nawasilisha.
Bila shaka tutakubaliana kuwa kukutana katika
Mitandao ya kijamii kwa wengine kumepelekea
Ukaribu wenye tija, faraja na wa-kuenziwa
Hata hivyo, Binadamu tuna mengi,
Ni kwa mukhtadha huohuo basi,
Yawezekana mkafahamiana kupitia
Mitandao hiihii lakini mkatengeneza
Uadui,Kero,Usumbufu,Chuki au
Majuto yasiyoweza kusahaulika
Kirahisi maishani.
Tuzungumzie hapa MMU ya JF.
Bila kujali ni nani,kuogopa au
Kulindana,
'LIVE' Kabisa ieleze jamii ya jukwaa letu pendwa;
Memba gani kakukuna, anaendelea kukukuna pengine na hujawahi
Au pengine HUJUTII kumfahamu?
Lakini pia, Kuna wale Wazee wa KERO,
Waweke hadharani kwa majina na kero zao.
Ni mwendo wa PONGEZI NA KUTUMBUA MAJIPU UCHUNGU.
Nawasilisha.