Unajuwa kuwa P-Funk Majani ana mtoto mkubwa kabisa wa kike tofauti na aliyezaa na Kajala?

Kuna mdada mmoja nae kazaa nae mtoto wa kiume.. Kwa jina sitomtaja...
 
Daaah mtoto wa kajala kawa mkubwa kabla ya umri wake , nikiwa na maana kabemendwa kimawazo kila siku skendo za mama duuuu!!!!
Huyu si kuna video yake inasambaa inaoneshwa kuna njemba inamkaza
 
Huyo wa kajala mbona sio point 5!! Atakuwa kapigwa changa hapo majani,mbaya zaidi mtoto kafanana na Kajala
Point 25 siyo point 5. Kweli inatia shaka mjukuu wa mzungu haoneshi hata kdg kuwa babu yake ni mzungu. Ila mambo ya genetics hayatabiriki angeweza kuwa na mzazi mmoja mzungu na akatoka mweusi
 
Mimi nilikuwa sijiui huenda hata baba mtoto mwenyewe alikuwa hajui hz ni zama za ngono huria liberal sex mahusiano ndoa kudumu muda mfupi kama chaja ya smart phone. Mtu anaweza kuweka mimba asijue au akijua akawa hana uhakika yeye ni baba au mwingine. So anything is possible
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…